UNENE NI SHIDA! UNAONEKANA KUWA TISHIO KULIKO NJAA
![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcKbv1TlYhsgDjTdJWi6*E9krG44X*gxvCyaPSH4PeA5GH3H5uzvKqpPkVB7K8C58lyA4e9GjMqoH5kCIPfeRi--/nene.jpg?width=650)
Utafiti wa hivi karibuni uliofanywa nchini Marekani umeonesha kuwa suala la unene wa kupita kiasi (obesity), limekuwa tatizo kubwa duniani kuliko hata tatizo la njaa. Takwimu zilizopo zinaonesha kuwa mwaka 1950, idadi ya watu waliokuwa wakikabiliwa na njaa duniani ilikuwa milioni 700. Kwa miaka hiyo, watu milioni 100 tu ndiyo walioathiriwa na matatizo ya unene wa kupita kiasi. Yaani watu milioni 700 walikuwa wanasumbuliwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Unene, shida na matibabu
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Sudan kusini na tishio la njaa
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Serikali yakana tishio la njaa Sudan.K
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Kwa nini kufiwa na mwenza kunamaanisha kuwa na njaa?
9 years ago
StarTV23 Sep
Kipindupindu chazidi kuwa tishio Dar:
Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kuwa tishio kwa afya na maisha ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam kutokana na ongezeko la wagonjwa na vifo katika manispaa mbili kati ya tatu za jiji hilo.
Ugonjwa huo awali uliikumba Manispaa ya Kinondoni lakini sasa umeenea katika Manispaa ya Ilala na Temeke ambako kumelazimisha kufungwa baadhi ya visima vya maji na kupigwa marufuku biashara ya vyakula na matunda.
Hadi sasa imethibitishwa jiji la Dar es Salaam kuwa bado si salama kwa ugonjwa wa...
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Ongezeko la joto lazidi kuwa tishio
11 years ago
Habarileo03 Apr
Ukimwi wazidi kuwa tishio kwa watoto
HATARI ya kuongezeka kwa vifo vya watoto vinavyotokana na upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi) na maradhi nyemelezi, inatishia taifa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-G1sB-3-TnPY/XkpkYMw6X7I/AAAAAAAAQNM/U6ZokifxnSgpX5WcsidWXR1J-0MlDxtLgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200217-WA0061.jpg)
MINYOO BAPA YATAJWA KUWA TISHIO LA AFYA MIFUGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-G1sB-3-TnPY/XkpkYMw6X7I/AAAAAAAAQNM/U6ZokifxnSgpX5WcsidWXR1J-0MlDxtLgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200217-WA0061.jpg)
Na.Vero Ignatus,Arusha
Serikali kupitia wizara ya mfugo imepokea utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha kilimo Sokoine kwa kushirikiana na chuo cha Livepol cha Uingereza na kile Bristone uingereza kuhusu athari na njia za kudhibiti magonjwa ya minyoo
Utafiti huo pia uliangazia kuwepo kwa sugu wa vimelea vya magonjwa hayo kwa dawa...
10 years ago
Habarileo03 Oct
Shibuda- Heri kuwa msaliti kuliko mhaini
MJUMBE wa Bunge Maalumu, John Shibuda, amesema ni heri kuwa msaliti kuliko kuwa mhaini kwa maslahi mapana ya Watanzania.