Ongezeko la joto lazidi kuwa tishio
Ongezeko la joto duniani huenda likaleta madhara makubwa zaidi na ambayo hayawezi kurekebishika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Dec
TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Papa Francis aonya kuhusu ongezeko la joto
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tShVZUCVrOo/XmTWW3YbyFI/AAAAAAALh4E/XbXqsbpk_3w6FsN5oJJi3_rog8YycnBCwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B13.15.42.jpeg)
JOTO LAZIDI KUPANDA MECHI YANGA NA SIMBA, DAKIKA 90 ZA MCHEZO KUAMUA NANI MBABE
KADRI muda unavyosonga mbele kuelekea mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba itakayochezwa leo Machi 8 mwaka huu 2020, saa 11 jioni mashabiki lukuki wameanza kujitokeza katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku kila upande ukiwa umejawa na tambo za ushindi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-tShVZUCVrOo/XmTWW3YbyFI/AAAAAAALh4E/XbXqsbpk_3w6FsN5oJJi3_rog8YycnBCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B13.15.42.jpeg)
Mechi ya Yanga na Simba ni moja ya mechi ambazo zimekuwa na utamaduni mkubwa wa kujaza mashabiki, wapenzi na wachama wa vilabu hivyo hasa kwa kuzingatia ni mechi ambayo hutawaliwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AfL-Suqlxac/U1bcQ7MRKtI/AAAAAAAFcZw/xVIXEcJMyV4/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Ongezeko la gesi joto ni kutoitendea haki dunia:Muyungi
![](http://4.bp.blogspot.com/-AfL-Suqlxac/U1bcQ7MRKtI/AAAAAAAFcZw/xVIXEcJMyV4/s1600/unnamed+(22).jpg)
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii Muyungi aliyebobea katika masuala ya mabadiliko ya tabia nchi anasema ujenzi wa miji na vijiji usioongeza joto...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sZA7m7t12xk/XnjHS7LXouI/AAAAAAALk1g/thLeX3ll6aAIr06bsmNxTtvJ8-rjK98VwCLcBGAsYHQ/s72-c/image1170x530cropped.jpg)
Dkt.Kijazi:Ongezeko la joto duniani,limesababisha mabadiliko ya hali ya hewa
Na Karama Kenyunko,Michuzi Globu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-sZA7m7t12xk/XnjHS7LXouI/AAAAAAALk1g/thLeX3ll6aAIr06bsmNxTtvJ8-rjK98VwCLcBGAsYHQ/s640/image1170x530cropped.jpg)
KILA ifikapo Machi 23 kila mwaka,dunia mzima huadhimisha siku ya hali ya hewa duniani. Ni siku ambayo Mkataba wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) ulisainiwa mwaka 1950. Kwa kawaida siku hii huadhimishwa na kila nchi mwanachama wa shirika hilo.
Taasisi za Hali ya Hewa, zikiwa ni Mamlaka zilizopewa jukumu la kutoa na kusimamia huduma za hali ya hewa katika nchi wanachama wa WMO,hutumia siku hii kuonesha na kueleza...
9 years ago
StarTV14 Nov
Tanzania yatajwa kuwa na ongezeko la wagonjwa ya kisukari
Tanzania yatajwa kuwa nchi ya 8 kati ya nchi kumi Barani Afrika zinazoongoza kwa wagonjwa wa Kisukari, kwasababu ya ongezeko la wa watu wenye kisukari kadri siku zinavyokwenda katika maeneo mbalimbali ya nchi.
Kutokana na tafiti za Kisukari za mwaka 2012, zinaonyesha kuwa hadi kufikia mwaka 2035 idadi ya wagonjwa wa kisukari inatarajiawa kufikia million 592 kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutozingatia kanuni za afya.
Wakati Tanzania ikitarajia kuadhimisha siku ya Kisukari Duniani,...
9 years ago
StarTV23 Sep
Kipindupindu chazidi kuwa tishio Dar:
Ugonjwa wa kipindupindu umeendelea kuwa tishio kwa afya na maisha ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam kutokana na ongezeko la wagonjwa na vifo katika manispaa mbili kati ya tatu za jiji hilo.
Ugonjwa huo awali uliikumba Manispaa ya Kinondoni lakini sasa umeenea katika Manispaa ya Ilala na Temeke ambako kumelazimisha kufungwa baadhi ya visima vya maji na kupigwa marufuku biashara ya vyakula na matunda.
Hadi sasa imethibitishwa jiji la Dar es Salaam kuwa bado si salama kwa ugonjwa wa...