Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto

Mvua kubwa isiyotabirika inatarajiwa kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hasa katika ukanda wa Pwani ya Kaskazini, maeneo ya Dar es Salaam, Tanga, Unguja na Pemba; pia katika ukanda wa Kaskazini Mashariki kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto, Mvua kubwa isiyotabirika yaja, TMA yatahadharisha wananchi

Dar es Salaam. Mvua kubwa isiyotabirika inatarajiwa kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini hasa katika ukanda wa Pwani ya Kaskazini, maeneo ya Dar es Salaam, Tanga, Unguja na Pemba; pia katika ukanda wa Kaskazini Mashariki kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara.Akitoa taarifa ya hali ya hewa jana kwa Januari na Februari mwaka ujao, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dk Agness Kijazi alisema mvua ya msimu katika maeneo hayo inatarajiwa kwisha leo.Hata hivyo,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis aonya kuhusu ongezeko la joto

Papa Francis amesema ni jambo la aibu kama viongozi wa dunia hawatafikia muafaka juu ya namna ya kupambana ongezeko la joto duniani.

 

9 years ago

Global Publishers

Polisi Yatahadharisha Wananchi Kuhusu Mkesha wa Mwaka Mpya

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TAHADHARI KATIKA MKESHA WA MWAKA MPYA

Tunapoelekea kumaliza mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2016, wananchi hutumia muda huo kwenda katika nyumba za ibada ama kusherekea katika maeneo mbalimbali ya starehe, ambapo uzoefu unaonyesha kuwa baadhi ya watu hupenda kutumia fursa hiyo kufanya vitendo vinavyohatarisha usalama wa raia mali zao.

Jeshi la Polisi nchini, limejipanga vizuri katika mikoa yote kwa kushirikiana na vyombo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

TMA yatahadharisha upepo, mawimbi

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa upepo mkali na mawimbi makubwa baharini kuanzia Septemba 1 hadi 2 mwaka huu. Tahadhari hiyo ilitolewa jana kupitia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TMA yatahadharisha wakazi ukanda wa Pwani

MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA), imewatahadharisha wakazi wa ukanda wa Pwani kuwa makini kutokana na upepo mkali pamoja na mawimbi makubwa unaotarajiwa kuvuma katika maeneo yao. Mikoa inayoweza kuathiriwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TMA yatahadharisha uwepo mvua mkubwa

MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imetahadharisha kuwepo kwa mvua kubwa inayozidi mililita 50 ndani ya saa 24 kuanzia Machi 5 hadi Machi 7, mwaka huu. Tahadhari ya mvua hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TMA yatahadharisha kuwapo mvua, upepo mkali

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwapo kwa upepo mkali, mawimbi makubwa na mvua kubwa kati ya leo hadi Januari 16, mwaka huu. Kutokana na hali...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ongezeko la joto lazidi kuwa tishio

Ongezeko la joto duniani huenda likaleta madhara makubwa zaidi na ambayo hayawezi kurekebishika

 

11 years ago

Michuzi

Ongezeko la gesi joto ni kutoitendea haki dunia:Muyungi

Ni lazima wanadamu waitendee haki dunia kwa kuwa hakuna dunia nyingine na njia pekee ni kuhakikisha ukomeshwaji wa ongezeko la gesi joto. Huu ni wito wa wake mwenyekiti wa kamati ya dunia ya kisayansi na taaluma ya makataba kuhusu makubaliano ya hali ya hewa Richard Muyungi akizungumza katika siku ya kimataifa ya sayari dunia
Katika mahojiano maaluma na Joseph Msami wa idhaa hii Muyungi aliyebobea katika masuala ya mabadiliko ya tabia nchi anasema ujenzi wa miji na vijiji usioongeza joto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani