TMA yatahadharisha uwepo mvua mkubwa
MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA) imetahadharisha kuwepo kwa mvua kubwa inayozidi mililita 50 ndani ya saa 24 kuanzia Machi 5 hadi Machi 7, mwaka huu. Tahadhari ya mvua hiyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo31 Dec
TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto, Mvua kubwa isiyotabirika yaja, TMA yatahadharisha wananchi
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2574130/highRes/911159/-/maxw/600/-/pxc51bz/-/kimbunga_mvua.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
TMA yatahadharisha kuwapo mvua, upepo mkali
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwapo kwa upepo mkali, mawimbi makubwa na mvua kubwa kati ya leo hadi Januari 16, mwaka huu. Kutokana na hali...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
TMA yatahadharisha upepo, mawimbi
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa upepo mkali na mawimbi makubwa baharini kuanzia Septemba 1 hadi 2 mwaka huu. Tahadhari hiyo ilitolewa jana kupitia...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
TMA yatahadharisha wakazi ukanda wa Pwani
MAMLAKA ya Hali ya Hewa (TMA), imewatahadharisha wakazi wa ukanda wa Pwani kuwa makini kutokana na upepo mkali pamoja na mawimbi makubwa unaotarajiwa kuvuma katika maeneo yao. Mikoa inayoweza kuathiriwa...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto
9 years ago
Michuzi29 Aug
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
TMA: Mvua zitaendelea
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imewataka wakazi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa Victoria na Pwani ya Bahari ya Hindi kufahamu kwamba mvua zitaendelea kunyesha na upepo kiasi....
10 years ago
Habarileo31 Dec
TMA: Msimu wa mvua umeisha
MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imesema msimu wa mvua za mwisho wa mwaka unaisha leo, ingawaje bado inatarajiwa kuwa na mvua kuanzia mapema mwaka 2015.
10 years ago
Mtanzania19 Jan
TMA: Mvua kubwa inakuja
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MAMLAKA ya Utabiri wa Hali ya Hewa Tanznaia (TMA) ,imetoa tahadhari ya kuwapo kwa vipindi vya mvua kubwa inayozidi milimita 50 ndani ya saa 24 kati ya Januari 18 na 20 mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari mjini Dar es Salaam jana na mamlaka hiyo, ilisema maeneo yatakayoathirika na mvua hiyo ni pamoja na mikoa ya Ruvuma, Mtwara, Lindi, Morogoro, Pwani, Dar es Salaam na Kisiwa cha Unguja.
Taarifa hiyo ilisema hali hiyo inatokana na kuimarika kwa...