Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yakana tishio la njaa Sudan.K

Waziri wa mashauri ya Nchi za kigeni wa Sudan Kusini amepuuzilia mbali tahadhari zilizotolewa kuwa taifa hilo changa limo katika hatari ya kukumbwa na baa la njaa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sudan kusini na tishio la njaa

Kufuatia zaidi ya miezi 8 ya mapigano Sudan Kusini, sasa inakabiliwa na tishio la baa la njaa.

 

11 years ago

GPL

UNENE NI SHIDA! UNAONEKANA KUWA TISHIO KULIKO NJAA

Utafiti wa hivi karibuni uliofanywa nchini Marekani umeonesha kuwa suala la unene wa kupita kiasi (obesity), limekuwa tatizo kubwa duniani kuliko hata tatizo la njaa. Takwimu zilizopo zinaonesha kuwa mwaka 1950, idadi ya watu waliokuwa wakikabiliwa na njaa duniani ilikuwa milioni 700. Kwa miaka hiyo, watu milioni 100 tu ndiyo walioathiriwa na matatizo ya unene wa kupita kiasi. Yaani watu milioni 700 walikuwa wanasumbuliwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbioni kupambana na njaa Sudan.K

Haijatimu hata miaka minne tangu Sudan Kusini ilipojitenga na Sudan, lakini watu wanaotoa misaada wako mbioni kuzuia njaa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan kusini yaepuka baa la njaa

Ripoti ya hivi punde inaonesha kuwa Sudan kusini imeepuka makali ya njaa licha ya kukumbwa na vita

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan kusini yakabiliwa na baa la njaa

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeelezea uhaba wa chakula nchini Sudan Kusini kama mbaya zaidi kuwahi kuonekana duniani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini inakumbwa na tisho la njaa

Rais wa Sudan kusini Salva Kirr ameonya kuwa taifa lake linakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula kufuatia vita vikali vinavyoendelea nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu ya baa la njaa Sudan Kusini

Mashirika ya kimataifa ya misaada yameonya kuwa huenda Sudan Kusini ikakabiliwa na baa la njaa iwapo, mapigano hayatasitishwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Njaa Sudan Kusini inaweza kuzuilika

Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa UN, Valerie Amos ameonya, kuna uwezekano mdogo wa kuzuia baa la njaa Sudan Kusini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Nigeria yakana kujikokota

Serikali ya Nigeria imejitetea vikali kuhusiana na shutma za kushindwa kukabiliana na kundi la wapiganaji wa kiislamu la Boko Haram huku wakisema kuwa wamo vitani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani