Sudan kusini yaepuka baa la njaa
Ripoti ya hivi punde inaonesha kuwa Sudan kusini imeepuka makali ya njaa licha ya kukumbwa na vita
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Jul
Sudan kusini yakabiliwa na baa la njaa
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Hofu ya baa la njaa Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili03 Jul
Sudani kusini kukumbwa na baa la njaa
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Sudan kusini na tishio la njaa
11 years ago
BBCSwahili22 May
Njaa Sudan Kusini inaweza kuzuilika
11 years ago
BBCSwahili19 May
Sudan Kusini inakumbwa na tisho la njaa
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
Singida watahadharishwa na baa la njaa, washauriwa kutunza vyakula
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza kwenye hafla ya utundikaji mizinga ya nyuki kimkoa zilizofanyika katika kijiji cha Nkungi wilayani Mkalama.Wa pili kulia walioketi ni Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone na (wa kwanza kulia) ni Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama, James. Kushoto (aliyekaa) ni Katibu tawala mkoa wa Singida Liana Hassan.
Na Nathaniel Limu, Singida
KAIMU mkuu wa wilaya ya Singida, Edward Ole Lenga, amewataka wakazi wa...
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya Corona: Umoja wa Mataifa waonya juu ya baa la njaa la 'Kibiblia'
9 years ago
StarTV28 Nov
Ofisi za Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa zagongana kuhusu baa la njaa isimani iringa
Siku chache baada ya Star Tv kuripoti taarifa ya baa la njaa linalotishia maisha ya watu karibu ya 70,000 wa tarafa ya Isimani mkoani Iringa, ofisi mbili za Serikali zimegongana juu ya jambo hilo.
Wakati Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa imekilaumu kitengo cha Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kutotoa ushirikiano wa kutosha hadi watu kufikia hatua ya kula matunda pori kama chakula chao kikuu, kitengo hicho kimekanusha madai hayo kwa maelezo kuwa kuna utaratibu wa kutoa chakula cha msaada na...