Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Singida watahadharishwa na baa la njaa, washauriwa kutunza vyakula

DSC07291

Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza kwenye hafla ya utundikaji mizinga ya nyuki kimkoa zilizofanyika katika kijiji cha Nkungi wilayani Mkalama.Wa pili kulia walioketi ni Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone na (wa kwanza kulia) ni Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama, James. Kushoto (aliyekaa) ni Katibu tawala mkoa wa Singida Liana Hassan.

Na Nathaniel Limu, Singida

KAIMU mkuu wa wilaya ya Singida, Edward Ole Lenga, amewataka wakazi wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Sudani kusini kukumbwa na baa la njaa

Mgogoro wa Sudani kusini waelezwa kusababisha ukosefu wa chakula

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan kusini yaepuka baa la njaa

Ripoti ya hivi punde inaonesha kuwa Sudan kusini imeepuka makali ya njaa licha ya kukumbwa na vita

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan kusini yakabiliwa na baa la njaa

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeelezea uhaba wa chakula nchini Sudan Kusini kama mbaya zaidi kuwahi kuonekana duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu ya baa la njaa Sudan Kusini

Mashirika ya kimataifa ya misaada yameonya kuwa huenda Sudan Kusini ikakabiliwa na baa la njaa iwapo, mapigano hayatasitishwa.

 

9 years ago

StarTV

Wananchi washauriwa kutunza uoto wa asili

 

Watendaji wa Halmashauri na kata zote nchini wametakiwa kusimamia sheria za mazingira ili kuleta mabadiliko katika utekelezaji wa usafi na kuepuka madhara yanayotokana na mabadiliko ya tabia nchi.

Uchafuzi wa mazingira, ukataji wa miti ovyo na Nishati isiyozingatia upunguzaji wa hewa ukaa ni changamoto kubwa katika usimamizi wa mazingira.

Kauli hiyo imetolewa katika hafla fupi ya kufunga na kukabidhi vyeti kwa wahitimu wa mafunzo kuhusu mabadiliko ya Tabia nchi, mipango miji na Maendeleo...

 

11 years ago

Mwananchi

Handeni washauriwa kuhifadhi vyakula

Wananchi wa wilayani hapa wameshauriwa kuhifadhi chakula na kuachana na tabia ya kuuza mahindi yakiwa machanga shambani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Umoja wa Mataifa waonya juu ya baa la njaa la 'Kibiblia'

Namba ya watu watakaokumbwa na baa la njaa duniani kuongezeka mara mbili.

 

10 years ago

Habarileo

Wajawazito washauriwa kula vyakula vya kuongeza damu

IMEBAINIKA kuwa tatizo la upungufu wa damu kwa wajawazito mkoani Kagera hasa waishio vijijini na visiwani, linatokana na wengi wao na jamii kwa ujumla kutoelewa aina vyakula wanavyopaswa kula kuongeza damu mwilini. Hayo yalibainika mjini hapa baada ya baadhi ya wajawazito walio katika mradi wa ‘Mama ye’ wa kuokoa maisha ya mjamzito na watoto wachanga chini ya shirika la Evidence 4 Action kuzungumza na gazeti hili hivi karibuni.

 

9 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa vyama vya siasa, wagombea na washabiki watahadharishwa Singida

SAM_0134

Mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana Saidi Amanzi akisisitiza jambo wakati wa ufungaji wa mafunzo ya wiki moja kwa wanawake wanaojihusisha na kilimo cha mboga mboga wilayani Singida.

SAM_0141

Mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana Saidi Amanzi(aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya wiki moja kwa wakulima wa mboga mboga wilaya ya Singida vijijini waliohudhuria mafunzo hayo kwenye majengo ya Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO)Mkoani Singida.

SAM_0125

Mmoja wa washiriki wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani