Singida watahadharishwa na baa la njaa, washauriwa kutunza vyakula
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza kwenye hafla ya utundikaji mizinga ya nyuki kimkoa zilizofanyika katika kijiji cha Nkungi wilayani Mkalama.Wa pili kulia walioketi ni Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone na (wa kwanza kulia) ni Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama, James. Kushoto (aliyekaa) ni Katibu tawala mkoa wa Singida Liana Hassan.
Na Nathaniel Limu, Singida
KAIMU mkuu wa wilaya ya Singida, Edward Ole Lenga, amewataka wakazi wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Jul
Sudani kusini kukumbwa na baa la njaa
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Sudan kusini yaepuka baa la njaa
11 years ago
BBCSwahili26 Jul
Sudan kusini yakabiliwa na baa la njaa
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Hofu ya baa la njaa Sudan Kusini
9 years ago
StarTV24 Nov
Wananchi washauriwa kutunza uoto wa asili
Watendaji wa Halmashauri na kata zote nchini wametakiwa kusimamia sheria za mazingira ili kuleta mabadiliko katika utekelezaji wa usafi na kuepuka madhara yanayotokana na mabadiliko ya tabia nchi.
Uchafuzi wa mazingira, ukataji wa miti ovyo na Nishati isiyozingatia upunguzaji wa hewa ukaa ni changamoto kubwa katika usimamizi wa mazingira.
Kauli hiyo imetolewa katika hafla fupi ya kufunga na kukabidhi vyeti kwa wahitimu wa mafunzo kuhusu mabadiliko ya Tabia nchi, mipango miji na Maendeleo...
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Handeni washauriwa kuhifadhi vyakula
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Virusi vya Corona: Umoja wa Mataifa waonya juu ya baa la njaa la 'Kibiblia'
10 years ago
Habarileo15 Aug
Wajawazito washauriwa kula vyakula vya kuongeza damu
IMEBAINIKA kuwa tatizo la upungufu wa damu kwa wajawazito mkoani Kagera hasa waishio vijijini na visiwani, linatokana na wengi wao na jamii kwa ujumla kutoelewa aina vyakula wanavyopaswa kula kuongeza damu mwilini. Hayo yalibainika mjini hapa baada ya baadhi ya wajawazito walio katika mradi wa ‘Mama ye’ wa kuokoa maisha ya mjamzito na watoto wachanga chini ya shirika la Evidence 4 Action kuzungumza na gazeti hili hivi karibuni.
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Viongozi wa vyama vya siasa, wagombea na washabiki watahadharishwa Singida
Mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana Saidi Amanzi akisisitiza jambo wakati wa ufungaji wa mafunzo ya wiki moja kwa wanawake wanaojihusisha na kilimo cha mboga mboga wilayani Singida.
Mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana Saidi Amanzi(aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya wiki moja kwa wakulima wa mboga mboga wilaya ya Singida vijijini waliohudhuria mafunzo hayo kwenye majengo ya Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO)Mkoani Singida.
Mmoja wa washiriki wa...