Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sudan kusini yakabiliwa na baa la njaa

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limeelezea uhaba wa chakula nchini Sudan Kusini kama mbaya zaidi kuwahi kuonekana duniani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Hofu ya baa la njaa Sudan Kusini

Mashirika ya kimataifa ya misaada yameonya kuwa huenda Sudan Kusini ikakabiliwa na baa la njaa iwapo, mapigano hayatasitishwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan kusini yaepuka baa la njaa

Ripoti ya hivi punde inaonesha kuwa Sudan kusini imeepuka makali ya njaa licha ya kukumbwa na vita

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudani kusini kukumbwa na baa la njaa

Mgogoro wa Sudani kusini waelezwa kusababisha ukosefu wa chakula

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan kusini na tishio la njaa

Kufuatia zaidi ya miezi 8 ya mapigano Sudan Kusini, sasa inakabiliwa na tishio la baa la njaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Njaa Sudan Kusini inaweza kuzuilika

Mratibu wa masuala ya kibinadamu wa UN, Valerie Amos ameonya, kuna uwezekano mdogo wa kuzuia baa la njaa Sudan Kusini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini inakumbwa na tisho la njaa

Rais wa Sudan kusini Salva Kirr ameonya kuwa taifa lake linakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula kufuatia vita vikali vinavyoendelea nchini humo.

 

10 years ago

Mtanzania

Burundi yakabiliwa na njaa

Pierre-NkurunzizaNa Mwandishi Wetu, Bujumbura
HALI ya njaa imeikumba Burundi hasa katika mji mkuu wa Bujumbura baada ya wasafirishaji wa mazao kusimamisha huduma yao kuhofia usalama wao.
Kutokana na hali hiyo Serikali imekuwa ikihaha kuwaomba wananchi hasa waliokimbia wa mikoa ya milimani ya Makamba na Ngozi kurejea nchini humo waendelee na kilimo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, mkazi wa Bujumbura ambaye jina lake linahitafadhiwa kwa sababu za usalama, alisema kwa wiki moja sasa huduma muhimu za vyakula...

 

10 years ago

Dewji Blog

Singida watahadharishwa na baa la njaa, washauriwa kutunza vyakula

DSC07291

Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza kwenye hafla ya utundikaji mizinga ya nyuki kimkoa zilizofanyika katika kijiji cha Nkungi wilayani Mkalama.Wa pili kulia walioketi ni Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone na (wa kwanza kulia) ni Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama, James. Kushoto (aliyekaa) ni Katibu tawala mkoa wa Singida Liana Hassan.

Na Nathaniel Limu, Singida

KAIMU mkuu wa wilaya ya Singida, Edward Ole Lenga, amewataka wakazi wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Umoja wa Mataifa waonya juu ya baa la njaa la 'Kibiblia'

Namba ya watu watakaokumbwa na baa la njaa duniani kuongezeka mara mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani