Burundi yakabiliwa na njaa
Na Mwandishi Wetu, Bujumbura
HALI ya njaa imeikumba Burundi hasa katika mji mkuu wa Bujumbura baada ya wasafirishaji wa mazao kusimamisha huduma yao kuhofia usalama wao.
Kutokana na hali hiyo Serikali imekuwa ikihaha kuwaomba wananchi hasa waliokimbia wa mikoa ya milimani ya Makamba na Ngozi kurejea nchini humo waendelee na kilimo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, mkazi wa Bujumbura ambaye jina lake linahitafadhiwa kwa sababu za usalama, alisema kwa wiki moja sasa huduma muhimu za vyakula...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili26 Jul
Sudan kusini yakabiliwa na baa la njaa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ba1K80wRZzQ/VXAClYG4feI/AAAAAAAHb24/OJdrvJEJKlQ/s72-c/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
TANZANIA YAKABILIWA NA UKAME
![](http://4.bp.blogspot.com/-ba1K80wRZzQ/VXAClYG4feI/AAAAAAAHb24/OJdrvJEJKlQ/s640/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4H2OcehGbA/VXACmF7ruFI/AAAAAAAHb28/SCq-iyJxlGw/s640/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
UN yakabiliwa na ukosefu wa misaada Gaza
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Misikiti ya Canada na US yakabiliwa na tishio
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
FIFA:Nigeria yakabiliwa na marufuku
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
SAWAKA yakabiliwa na changamoto lukuki
SHIRIKA la Saidia Wazee Karagwe (SAWAKA), Mkoa wa Kagera, linakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa huduma za afya, ushirikina, ukosefu wa vipato na kukosekana kwa mfuko wa jamii ya...
10 years ago
Habarileo04 Feb
‘DART yakabiliwa na tatizo la kifedha’
MRADI wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) unakabiliwa na changamoto ya kifedha katika ujenzi wa miundombinu, kutokana na ongezeko la mahitaji ya fedha za kuukamilisha.
11 years ago
MichuziSHULE YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA VYOO
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Ivory Coast yakabiliwa na vikwazo