UN yakabiliwa na ukosefu wa misaada Gaza
Umoja wa mataifa umeonya kuwa unakabiliwa na ukosefu wa misaada wa raia elfu hamsini wa Palestina katika eneo la Gaza.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV29 Dec
Idara ya Forodha yakabiliwa na ukosefu wa mizani.
Na Amina Saidi, Mbeya.
Idara ya Forodha na Ushuru katika mpaka wa Tanzania na Malawi uliopo wilayani Kyela mkoani Mbeya inakabiliwa na tatizo la ukosefu wa mizani kwa ajili ya kupimia mizigo inayovushwa katika mpaka huo.
Kutokana na tatizo hilo baadhi ya mizigo inayovushwa mpakani hapo haitozwi ushuru halisi kulingana na uzito iliyonayo na hivyo kuitia serikali hasara kwa kukusanya mapato madogo.
Katika mpaka wa Tanzania na Malawi ambao unajulikana kwa jina la Kasumulu, mpaka huu una...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ba1K80wRZzQ/VXAClYG4feI/AAAAAAAHb24/OJdrvJEJKlQ/s72-c/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
TANZANIA YAKABILIWA NA UKAME
![](http://4.bp.blogspot.com/-ba1K80wRZzQ/VXAClYG4feI/AAAAAAAHb24/OJdrvJEJKlQ/s640/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4H2OcehGbA/VXACmF7ruFI/AAAAAAAHb28/SCq-iyJxlGw/s640/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
10 years ago
Mtanzania28 May
Burundi yakabiliwa na njaa
Na Mwandishi Wetu, Bujumbura
HALI ya njaa imeikumba Burundi hasa katika mji mkuu wa Bujumbura baada ya wasafirishaji wa mazao kusimamisha huduma yao kuhofia usalama wao.
Kutokana na hali hiyo Serikali imekuwa ikihaha kuwaomba wananchi hasa waliokimbia wa mikoa ya milimani ya Makamba na Ngozi kurejea nchini humo waendelee na kilimo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, mkazi wa Bujumbura ambaye jina lake linahitafadhiwa kwa sababu za usalama, alisema kwa wiki moja sasa huduma muhimu za vyakula...
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Misikiti ya Canada na US yakabiliwa na tishio
10 years ago
Habarileo04 Feb
‘DART yakabiliwa na tatizo la kifedha’
MRADI wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) unakabiliwa na changamoto ya kifedha katika ujenzi wa miundombinu, kutokana na ongezeko la mahitaji ya fedha za kuukamilisha.
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
SAWAKA yakabiliwa na changamoto lukuki
SHIRIKA la Saidia Wazee Karagwe (SAWAKA), Mkoa wa Kagera, linakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa huduma za afya, ushirikina, ukosefu wa vipato na kukosekana kwa mfuko wa jamii ya...
10 years ago
BBCSwahili20 Nov
Ivory Coast yakabiliwa na vikwazo
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
FIFA:Nigeria yakabiliwa na marufuku
11 years ago
MichuziSHULE YAKABILIWA NA UPUNGUFU WA VYOO