Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA YAKABILIWA NA UKAME

Mgeni Rasmi katika Semina ya Kukuza Uelewa wa Usimamizi wa Mazingira kwa Watendaji wa Halmashari ya Jiji la Tanga, Bwana Salim Chima ambaye pia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga akifungua Semina hiyo ya siku moja iliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga. Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Julius Ningu akizungumza jambo katika Semina ya Kukuza Uelewa katika Masuala ya Mazingira kwa Watendaji wa Halmashari ya Jiji la Tanga iliyofanyika jijini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania kukumbwa na ukame

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua za masika hazitarajiwi kuwa za kuridhisha katika maeneo mengi ya nchi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yakabiliwa uhaba wa madaktari wa vichwa vikubwa

TANZANIA inakabiliwa na upungufu wa wataalam wa upasuaji kwa watoto wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi ambapo kwa sasa ina madaktari watano ambao wanazunguka katika hospitali za rufaa nchini kutibu....

 

10 years ago

Mtanzania

Burundi yakabiliwa na njaa

Pierre-NkurunzizaNa Mwandishi Wetu, Bujumbura
HALI ya njaa imeikumba Burundi hasa katika mji mkuu wa Bujumbura baada ya wasafirishaji wa mazao kusimamisha huduma yao kuhofia usalama wao.
Kutokana na hali hiyo Serikali imekuwa ikihaha kuwaomba wananchi hasa waliokimbia wa mikoa ya milimani ya Makamba na Ngozi kurejea nchini humo waendelee na kilimo.
Akizungumza na MTANZANIA jana, mkazi wa Bujumbura ambaye jina lake linahitafadhiwa kwa sababu za usalama, alisema kwa wiki moja sasa huduma muhimu za vyakula...

 

10 years ago

Mwananchi

Nchi kukumbwa na ukame

>Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya mwelekeo wa mvua za masika katika kipindi cha Machi mpaka Mei na kusema kuwa hali ya mvua haitarajiwi kuwa ya kuridhisha katika maeneo mengi ya nchi.

 

10 years ago

Habarileo

TMA: Ni mwaka wa ukame

Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Agnes KijaziHALI ya ukame inatarajiwa kukabili nchi kutokana na upungufu wa mvua utakaoathiri pia upatikanaji wa nishati ya umeme.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ivory Coast yakabiliwa na vikwazo

Timu ya soka ya Ivory Coast huenda ikakabiliwa na vikwazo baada ya mashabiki wake kuvamia uwanja mjini Abidjan

 

9 years ago

BBCSwahili

Misikiti ya Canada na US yakabiliwa na tishio

Misikiti nchini Marekani na Canada inakabiliwa na ongezeko la uharibifu na vitisho tangu shambulio la Paris.

 

10 years ago

Tanzania Daima

SAWAKA yakabiliwa na changamoto lukuki

SHIRIKA la Saidia Wazee Karagwe (SAWAKA), Mkoa wa Kagera, linakabiliwa na  changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa huduma za afya, ushirikina, ukosefu wa vipato na kukosekana kwa mfuko wa jamii ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

UN yakabiliwa na ukosefu wa misaada Gaza

Umoja wa mataifa umeonya kuwa unakabiliwa na ukosefu wa misaada wa raia elfu hamsini wa Palestina katika eneo la Gaza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani