TMA: Ni mwaka wa ukame
HALI ya ukame inatarajiwa kukabili nchi kutokana na upungufu wa mvua utakaoathiri pia upatikanaji wa nishati ya umeme.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-7YjhTNaE388/VPXet22b0MI/AAAAAAAAB2I/63CUqLkmc9Q/s72-c/eafr_precip.png)
TMA: Ukame kuishambulia nchi masika
![](http://2.bp.blogspot.com/-7YjhTNaE388/VPXet22b0MI/AAAAAAAAB2I/63CUqLkmc9Q/s1600/eafr_precip.png)
NA WILLIAM SHECHAMBO KIWANGO cha mvua katika msimu wa mwaka huu wa masika ni kidogo kwenye maeneo mengi ya nchi hali inayoweza kusababisha ukame endapo Watanzania hawatazitumia kwa busara mvua chache zinazotarajiwa kunyesha nchini. Utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), juu ya mwelekeo wa mvua kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia sasa, ulisema licha ya maeneo mengi ya nchi kutarajia mvua za wastani, maeneo mengine mvua zitakuwa kubwa. Baadhi ya maeneo hayo ni kanda ya Ziwa...
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Je TZ itamaliza ukame mwaka huu?
Wanamichezo watakaowakilisha TZ katika michezo ya Jumuiya ya Madola mjini Glasgow, chatangazwa
5 years ago
MichuziMVUA ZA MWAKA 2019 ZIMEVUNJA REKODI, TMA
10 years ago
Vijimambo31 Dec
TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto, Mvua kubwa isiyotabirika yaja, TMA yatahadharisha wananchi
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2574130/highRes/911159/-/maxw/600/-/pxc51bz/-/kimbunga_mvua.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Nchi kukumbwa na ukame
>Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya mwelekeo wa mvua za masika katika kipindi cha Machi mpaka Mei na kusema kuwa hali ya mvua haitarajiwi kuwa ya kuridhisha katika maeneo mengi ya nchi.
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Tanzania kukumbwa na ukame
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua za masika hazitarajiwi kuwa za kuridhisha katika maeneo mengi ya nchi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ba1K80wRZzQ/VXAClYG4feI/AAAAAAAHb24/OJdrvJEJKlQ/s72-c/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
TANZANIA YAKABILIWA NA UKAME
![](http://4.bp.blogspot.com/-ba1K80wRZzQ/VXAClYG4feI/AAAAAAAHb24/OJdrvJEJKlQ/s640/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4H2OcehGbA/VXACmF7ruFI/AAAAAAAHb28/SCq-iyJxlGw/s640/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Ukame mkali wanyemelea Ethiopia
Umoja wa mataifa umesema juhudi kubwa za msaada kimataifa zinahitajika nchini Ethiopia kuzuia janga la kibinadamu.
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Ukame wa magoli wamuandama Suarez
Suarez aeleza kutofurahishwa na kitendo cha kutozifumania Nyavu na kung'ara kwa mambo msimu huu. Anasema ukame umekithiri
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania