TMA: Ukame kuishambulia nchi masika
![](http://2.bp.blogspot.com/-7YjhTNaE388/VPXet22b0MI/AAAAAAAAB2I/63CUqLkmc9Q/s72-c/eafr_precip.png)
NA WILLIAM SHECHAMBO KIWANGO cha mvua katika msimu wa mwaka huu wa masika ni kidogo kwenye maeneo mengi ya nchi hali inayoweza kusababisha ukame endapo Watanzania hawatazitumia kwa busara mvua chache zinazotarajiwa kunyesha nchini. Utabiri wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), juu ya mwelekeo wa mvua kwa kipindi cha miezi mitatu kuanzia sasa, ulisema licha ya maeneo mengi ya nchi kutarajia mvua za wastani, maeneo mengine mvua zitakuwa kubwa. Baadhi ya maeneo hayo ni kanda ya Ziwa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Mar
TMA: Ni mwaka wa ukame
HALI ya ukame inatarajiwa kukabili nchi kutokana na upungufu wa mvua utakaoathiri pia upatikanaji wa nishati ya umeme.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1gKwVC3jSRg/XkwLo5-FcBI/AAAAAAALeFg/Ut6q7oRITac3yGla1_jKXICAIsifNPcKwCLcBGAsYHQ/s72-c/index.png)
Wananchi Chukueni tahadhari msimu wa Mvua za Masika- TMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1gKwVC3jSRg/XkwLo5-FcBI/AAAAAAALeFg/Ut6q7oRITac3yGla1_jKXICAIsifNPcKwCLcBGAsYHQ/s640/index.png)
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA )imetoa utabir wake wa Mvua za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .
Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.
Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...
5 years ago
MichuziMAKALA: Wananchi Chukueni tahadhari msimu wa Mvua za Masika- TMA
Na Karama Kenyunko, Globu ya Jamii
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA )imetoa utabir wake wa Mvua za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .
Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XxNlzzusg8U/Xkv-RxNkdMI/AAAAAAALeCY/y49Hz_a2-ignXQM4a9QQYnMJa5VoHKusQCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7naDjh8Yycs/XkwyWU6i81I/AAAAAAACBFY/-hSyP2Iv2M0rZqu5V2dm7t3KjRBgn0SeQCLcBGAsYHQ/s72-c/E65E8C9B-8E20-442A-B48F-5ACF452061AF.png)
TMA yatoa tahadhari kwa wananchi kuelekea msimu wa Mvua za Masika
![](https://1.bp.blogspot.com/-7naDjh8Yycs/XkwyWU6i81I/AAAAAAACBFY/-hSyP2Iv2M0rZqu5V2dm7t3KjRBgn0SeQCLcBGAsYHQ/s640/E65E8C9B-8E20-442A-B48F-5ACF452061AF.png)
HIVI karibuni Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA )imetoa utabir wake wa Mvua za masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei,2020 ambazo zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani .
Mvua hizo zinatarajia kunyesha katika maeneo ya Mkoa wa Tanga, Visiwa vya Unguja na Pemba, maeneo mengi ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro, Mashariki mwa Mkoa wa Geita pamoja na Mikoa ya Shinyanga, Mwanza, Simiyu na Mara.
Maeneo ya Mkoa wa Kagera, magharibi mwa Mkoa wa...
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Nchi kukumbwa na ukame
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X9uFhmcosWo/UwzIrQwpkjI/AAAAAAAFPg0/Gbj5sZTYs-c/s72-c/unnamed+(38).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA (TMA) YAKUTANA NA WADAU WA SEKTA MBALI MBALI KUJADILI UTABIRI WA MVUA ZA MSIMU KWA MWEZI MACHI MPAKA MEI (MASIKA)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X9uFhmcosWo/UwzIrQwpkjI/AAAAAAAFPg0/Gbj5sZTYs-c/s1600/unnamed+(38).jpg)
Kila mwaka mwezi Februari kabla ya kutoa utabiri wa msimu Mamlaka hukutana na wadau wa sekta mbali mbali nchini ili kujadili utabiri wa msimu huo wa mvua za MASIKA kwa kipindi cha miezi ya Machi hadi Mei na kuwapa wadau nafasi ya...
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
10 years ago
Vijimambo31 Dec
TMA yatahadharisha wananchi kuhusu ongezeko la joto, Mvua kubwa isiyotabirika yaja, TMA yatahadharisha wananchi
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2574130/highRes/911159/-/maxw/600/-/pxc51bz/-/kimbunga_mvua.jpg)