Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajawazito washauriwa kula vyakula vya kuongeza damu

IMEBAINIKA kuwa tatizo la upungufu wa damu kwa wajawazito mkoani Kagera hasa waishio vijijini na visiwani, linatokana na wengi wao na jamii kwa ujumla kutoelewa aina vyakula wanavyopaswa kula kuongeza damu mwilini. Hayo yalibainika mjini hapa baada ya baadhi ya wajawazito walio katika mradi wa ‘Mama ye’ wa kuokoa maisha ya mjamzito na watoto wachanga chini ya shirika la Evidence 4 Action kuzungumza na gazeti hili hivi karibuni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

   TFDA kuongeza nguvu katika kudhibiti ubora wa Vifaa Vya Kupima Damu

 

Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa TFDA imesema itaongeza nguvu katika kudhibiti ubora wa vifaa vinavyotumika kupima damu au kitu chochote katika mwili wa binadamu.

Vitendanishi hivyo ni pamoja na mate, mkojo na haja kubwa ili kutambua tatizo lililoko mwilini na kuondoa utata wa majibu unaotokana na baadhi ya vitendanishi kutokukidhi ubora, usalama na utendaji kazi unaotakiwa.

Meneja wa usajili wa vifaa tiba kutoka TFDA   Bi Agnes Kijo ameyasema hayo wakati akizungumza katika mkutano...

 

11 years ago

Mwananchi

Handeni washauriwa kuhifadhi vyakula

Wananchi wa wilayani hapa wameshauriwa kuhifadhi chakula na kuachana na tabia ya kuuza mahindi yakiwa machanga shambani.

 

10 years ago

Habarileo

Wajawazito washauriwa kutotumia dawa za uchungu za kienyeji

WAJAWAZITO wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameaswa kutojifungulia nyumbani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Singida watahadharishwa na baa la njaa, washauriwa kutunza vyakula

DSC07291

Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza kwenye hafla ya utundikaji mizinga ya nyuki kimkoa zilizofanyika katika kijiji cha Nkungi wilayani Mkalama.Wa pili kulia walioketi ni Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone na (wa kwanza kulia) ni Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama, James. Kushoto (aliyekaa) ni Katibu tawala mkoa wa Singida Liana Hassan.

Na Nathaniel Limu, Singida

KAIMU mkuu wa wilaya ya Singida, Edward Ole Lenga, amewataka wakazi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Punguza kula vyakula vinavyosindikwa viwandani

Upungufu wa virutubisho au wingi wa virutubisho mwilini kama vile wanga, protini, mafuta, madini na vitamini unaweza kuathiri afya.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajawazito Zanzibar washahuriwa kutumia vyakula vyenye lishe bora

02 (2)

Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo.

Na Abdulla Ali na Mwanaisha Moh’d Maelezo-Zanzibar       

Kina mama wajawazito wameshauriwa kutumia vyakula vyenye Lishe Bora ili kuepukana na matatizo yanayoweza kujitokeza wakati wa kujifungua kwao.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.  Mahmoud Thabit  Kombo wakati akijibu swali la Mwakilishi wa Jimbo la Wawi Mhe. Saleh Nassor Juma katika ukumbi wa  Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi Unguja.

Amesema...

 

10 years ago

Habarileo

Dawa za kuongeza uchungu hatari kwa wajawazito

MATUMIZI ya dawa za kienyeji kwa ajili ya kuongeza uchungu na kujifungua mapema, imeelezwa kuchangia zaidi vifo kwa wajawazito.

 

9 years ago

Michuzi

VYAKULA VINAVYOONGOZA KUONGEZA AKILI KWENYE UBONGO

‪#‎AfyaYako‬ Vyakula Vinavyoongoza kuongeza AKILI kwenye ubongoIfuatayo ni orodha ya vyakula ambavyo vinaongoza kwa kuimarisha utendaji kazi mzuri wa ubongo:
1.MAFUTA YA SAMAKI
Samaki na Mafuta ya samaki ambayo ni muhimu katika mwili
Mafuta ya samaki ni muhimu kwa ubongo na mfumo wa ufahamu. Ulaji wa samaki wenye minofu kama samoni (salmon) na dagaa, utaweza kupata faida hizo kwa sababu aina hii ya samaki ina kiasi kingi cha mafuta ya Omega 3 ambayo huimarisha utendaji kazi na mawasiliano kati...

 

9 years ago

Dewji Blog

‪#‎AfyaYako‬ Vyakula vinavyoongoza kuongeza AKILI kwenye ubongo

Ifuatayo ni orodha ya vyakula ambavyo vinaongoza kwa kuimarisha utendaji kazi mzuri wa ubongo:

1.MAFUTA YA SAMAKI

Mafuta ya samaki ni muhimu kwa ubongo na mfumo wa ufahamu. Ulaji wa samaki wenye minofu kama samoni (salmon) na dagaa, utaweza kupata faida hizo kwa sababu aina hii ya samaki ina kiasi kingi cha mafuta ya Omega 3 ambayo huimarisha utendaji kazi na mawasiliano kati ya ubongo na seli za mwili moja kwa moja.

2.PILIPILI KALI

Pilipili kali nayo huwa ni chakula kikubwa cha ubongo kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani