Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Punguza kula vyakula vinavyosindikwa viwandani

Upungufu wa virutubisho au wingi wa virutubisho mwilini kama vile wanga, protini, mafuta, madini na vitamini unaweza kuathiri afya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wajawazito washauriwa kula vyakula vya kuongeza damu

IMEBAINIKA kuwa tatizo la upungufu wa damu kwa wajawazito mkoani Kagera hasa waishio vijijini na visiwani, linatokana na wengi wao na jamii kwa ujumla kutoelewa aina vyakula wanavyopaswa kula kuongeza damu mwilini. Hayo yalibainika mjini hapa baada ya baadhi ya wajawazito walio katika mradi wa ‘Mama ye’ wa kuokoa maisha ya mjamzito na watoto wachanga chini ya shirika la Evidence 4 Action kuzungumza na gazeti hili hivi karibuni.

 

10 years ago

GPL

MBASHA PUNGUZA MUNKARI!

EMMANUEL Mbasha ana jina kubwa katika muziki wa Injili hapa nchini. Lakini hata hivyo, ukubwa wa jina lake hautokani na uwezo wake wa kuifanya kazi hiyo, bali kitendo chake cha kufunga ndoa na mmoja kati ya waimbaji bora zaidi wa kike, Flora Mbasha. Simfahamu sana kikazi Emmanuel, lakini nimewahi kusikiliza nyimbo zake kadhaa na kugundua kuwa anacho kipaji kinachohitaji kuendelezwa. Anafanya kazi nzuri ya utumishi wa Mungu kwa...

 

11 years ago

GPL

WEE KAKA, PUNGUZA MAJI UGALI UIVE

MUHALI gani mabibi na mabwana hasa mlio katika mfungo wa Kwarezima. Najua mmenisubiri kwa hamu nami siwezi kuzipunguza raha zenu bali kuziongeza. Nashukuru kwa wote mlionipongeza kwa kupata mafunzo ambayo hawakuyapata hapo awali, siyo wote wamepitia mafunzo ya utaratibu wa maisha wa jando au unyago.Kutokana na kupokea maombi ya kina baba nao kuomba niwakumbuke katika ufalme wa mahusiano nami sina hiyana kwa vile wao ndiyo wapiga...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria:Mgomo wasitishwa viwandani

Wafanyakazi katika sekta ya mafuta nchini Nigeria wamesitisha mgomo ulioanza mapema juma hili ambapo walikuwa analalamikia hali mbovu katika viwanda vya usafishaji mafuta na pia ubovu wa miundombinu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria kwafukuta mgomo viwandani

Nigeria muungano wa vyama viwili vikuu vya wafanyakazi kwenye sekta ya mafuta wametoa tamko la kuanza kwa mgomo mkubwa wa kitaifa.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli aahidi ajira viwandani

Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli ameahidi kuongeza ajira kwa asilimia 40 kupitia sekta ya viwanda nchini iwapo atapatiwa ridhaa ya kuwa rais.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali: Nemc simamieni mazingira ya viwandani

>Serikali imeliagiza Baraza la Taifa la Mazingira (Nemc) kutoa mwongozo wa  utunzaji na uhifadhi wa mazingira kwa viwanda vyote nchini.

 

9 years ago

BBCSwahili

WHO: Nyama iliyopitia viwandani husababisha saratani

WHO imesema ulaji wa nyama nyekundu na bidhaa za viwandani zilizotengenezwa kutoka kwa nyama husababisha saratani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani