Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WEE KAKA, PUNGUZA MAJI UGALI UIVE

MUHALI gani mabibi na mabwana hasa mlio katika mfungo wa Kwarezima. Najua mmenisubiri kwa hamu nami siwezi kuzipunguza raha zenu bali kuziongeza. Nashukuru kwa wote mlionipongeza kwa kupata mafunzo ambayo hawakuyapata hapo awali, siyo wote wamepitia mafunzo ya utaratibu wa maisha wa jando au unyago.Kutokana na kupokea maombi ya kina baba nao kuomba niwakumbuke katika ufalme wa mahusiano nami sina hiyana kwa vile wao ndiyo wapiga...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

King Kaka aingiza sokoni maji ya kunywa, ‘Majik Walter’

Rapper kutoka nchini Kenya na mjasiriamali, King Kaka ameendelea kujikita zaidi kwenye biashara baada ya kuingiza bidhaa yake mpya ya maji sokoni. King Kaka ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake’Najipendelea’ aliowashirikisha G-Nako na Joh Makini, ameiambia 255 ya kipindi cha Clouds FM, XXL kuwa ameamua kutumia muziki wake kibiashara zaidi. Timu ya Kabras Rugby […]

 

10 years ago

GPL

MBASHA PUNGUZA MUNKARI!

EMMANUEL Mbasha ana jina kubwa katika muziki wa Injili hapa nchini. Lakini hata hivyo, ukubwa wa jina lake hautokani na uwezo wake wa kuifanya kazi hiyo, bali kitendo chake cha kufunga ndoa na mmoja kati ya waimbaji bora zaidi wa kike, Flora Mbasha. Simfahamu sana kikazi Emmanuel, lakini nimewahi kusikiliza nyimbo zake kadhaa na kugundua kuwa anacho kipaji kinachohitaji kuendelezwa. Anafanya kazi nzuri ya utumishi wa Mungu kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Punguza kula vyakula vinavyosindikwa viwandani

Upungufu wa virutubisho au wingi wa virutubisho mwilini kama vile wanga, protini, mafuta, madini na vitamini unaweza kuathiri afya.

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)

Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]

The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

SINDANO WEE ZISIKIE TU!

Baada ya kuona kwa siku nne mfululizo nina kuwa na ndoto inajirudia, nimeona nitafute msaada wa kitaalamu. Kila ikifika saa nane ya usiku ndoto ya kutisha inaanza, najiona nimeshashinda uchaguzi na nimechaguliwa kuwa rais, magazeti na mativi yote yananishangilia, wananchi wenye furaha wako mitaani na mabango yenye jina langu, mipango yote ya kuniapisha inaanza, umeme unakatika wapambe wanajitahidi kurudisha umeme inashindikana...

 

10 years ago

TheCitizen

CC meets until the wee hours

CCM’s Central Committee meeting dragged on past midnight as members haggled over the Top Five shortlist of potential presidential candidates.

 

10 years ago

GPL

HAYA MABASI YA MKOA, WEE ACHA TU!

Niliamka saa kumi alfajiri ili niweze kuwahi basi la kwanza ili nifanye safari yangu ya mkoa. Nilimpigia simu Bodaboda, akaja huku akilalamika kuwa nimemuamsha mapema mno, hatimae nikajikuta ndani ya basi nikiwa nimekaa kwenye kiti nilichopangiwa. Sikukaa muda mrefu akaingia mama mmoja naye akakaa pembeni yangu, tukasalimana vizuri na kutulia kungoja safari ianze. Basi likajaa saa kumi na mbili safari ikaanza, haikuchukua muda...

 

10 years ago

GPL

UNAVUKA ZEBRA CROSSING WEE PUNDAMILIA?

Dah nimeokota waraka huu wa siri unaoonekana umeandikwa na jamaa wenye vyombo vya usafiri, na unaelekezwa kwa watembea kwa miguu Dar es Salaam. Nimeona niulete hapa hadharani. Ndugu watembea kwa miguu, sisi wenye vyombo vya moto vya usafiri baada ya kuvumilia kwa muda mrefu tumeona tutoe dukuduku letu kuhusu nyinyi watembea kwa miguu wa Tanzania hususan nyinyi wa Jiji la Dar a.k.a Bongo. Watembea kwa miguu mnasababisha kero kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani