Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


King Kaka aingiza sokoni maji ya kunywa, ‘Majik Walter’

Rapper kutoka nchini Kenya na mjasiriamali, King Kaka ameendelea kujikita zaidi kwenye biashara baada ya kuingiza bidhaa yake mpya ya maji sokoni. King Kaka ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake’Najipendelea’ aliowashirikisha G-Nako na Joh Makini, ameiambia 255 ya kipindi cha Clouds FM, XXL kuwa ameamua kutumia muziki wake kibiashara zaidi. Timu ya Kabras Rugby […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Jide aingiza sokoni Historia

BAADA ya kufanya vizuri na ngoma yake ya ‘Yahaya’, mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa Bongo fleva, Judith Wambura ‘Jide’ amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwasabwite aingiza ya pili sokoni

MUIMBAJI wa muziki wa injili, Edson Mwasabwite, ameachia albamu ya pili inayojulikana kwa jina la ‘Amenihurumia asilimia mia’. Akizungumzia ujio wa albamu hiyo aliyoirekodi katika studio ya Cke, Mwasabwite amesema...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Jux aingiza sokoni nguo zake za ‘African Boy’

1209720_1016120505112306_2017605717_n

Pamoja na kuonesha kitita cha $50,000 ambazo ni takriban shilingi milioni 100 kwenye Instagram hivi karibuni, Jux hapunguzi speed za kuchase papers.

1209720_1016120505112306_2017605717_n

Muimbaji huyo wa ‘Looking For You’ aliyerejea China anakoendelea na masomo, ameingiza sokoni nguo za brand yake, African Boy.

10549656_922209281191884_1244900222_n

Hadi sasa t-shirt za kike na kiume pamoja na kofia za brand hiyo zimeshaingia sokoni. Hizi ni baadhi ya bidhaa hizo.

12237149_976300702440250_874251772_n

11326333_772185519554486_1666503124_n

11421983_982519548452909_174208484_n

11881803_1526338167683049_2126671777_n

12106291_185219581818718_1360584433_n

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...

 

11 years ago

Michuzi

Mbunge wa Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji Jimboni kwake kwa kunywa maji ya Mtoni

Mbunge wa jimbo la Ludewa,Mh. Deo Filikunjombe akizindua mradi wa maji kwa kunywa maji ya mto kwa majani ya mgomba maji ambayo wapiga kura wake wa kijiji cha Madindo Mlangali wamekuwa wakiyatumia. Mbunge huyo mbali ya kuzindua pia alitoa msaada wa matenki makubwa ya maji mawili na vifaa mbali mbali juzi.(picha na Francis GodwinBlog)

 

10 years ago

Bongo5

Video: King Kaka Ft. Rich Mavoko — Lini

Video mpya ya msanii kutoka Kenya King Kaka wimbo unaitwa “Lini” amemshirikisha Rich Mavoko Video: Directed By Johnson Kyalo/Empire Films. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video: King Kaka Ft. Femi One & Avril – Ndio Kusema

CWQi-DVVAAAQMZy

Video mpya ya rapper King Kaka kutoka Kenya amewashirikisha Femi One na Avril wimbo unaitwa “Ndio Kusema”

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA MAJI KING'ONGO DAR WAKAGUA UJENZI WA MRADI WAO WA MAJI ULIOFADHILIWA NA TBL

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya MO Resources Limited,Onesmo Sigalla (kulia), akitoa maelezo kwa kwa wajumbe wa Kamati ya Maji ya Mtaa wa King'ongo,  Kata ya Salanga, Kimara, Dar es Salaam,  kuhusu hatua aliyofikia ya usafishaji maji katika ujenzi wa kisima cha maji kilichojengwa kwa msaada wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kamati hiyo iliyokwenda kukagua maendeleo ya mradi huo jana, iliongozwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Demetrius Mapesi (kulia). Wajumbe wengine ni Anna Kibwana (wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwimba kuanza kunywa maji safi

MBUNGE wa Kwimba mkoani Mwanza, Shanif Mansoor (CCM), amewahakikishia wananchi wa Ngudu na Mhalo kwamba ifikapo Machi wataanza kupata majisafi kutoka Ziwa Victoria. Alisema kuanzia Juni hadi Oktoba, wakazi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani