Jide aingiza sokoni Historia
BAADA ya kufanya vizuri na ngoma yake ya ‘Yahaya’, mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa Bongo fleva, Judith Wambura ‘Jide’ amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Mwasabwite aingiza ya pili sokoni
MUIMBAJI wa muziki wa injili, Edson Mwasabwite, ameachia albamu ya pili inayojulikana kwa jina la ‘Amenihurumia asilimia mia’. Akizungumzia ujio wa albamu hiyo aliyoirekodi katika studio ya Cke, Mwasabwite amesema...
9 years ago
Bongo514 Nov
Picha: Jux aingiza sokoni nguo zake za ‘African Boy’
![1209720_1016120505112306_2017605717_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/1209720_1016120505112306_2017605717_n-300x194.jpg)
Pamoja na kuonesha kitita cha $50,000 ambazo ni takriban shilingi milioni 100 kwenye Instagram hivi karibuni, Jux hapunguzi speed za kuchase papers.
Muimbaji huyo wa ‘Looking For You’ aliyerejea China anakoendelea na masomo, ameingiza sokoni nguo za brand yake, African Boy.
Hadi sasa t-shirt za kike na kiume pamoja na kofia za brand hiyo zimeshaingia sokoni. Hizi ni baadhi ya bidhaa hizo.
9 years ago
Bongo509 Sep
King Kaka aingiza sokoni maji ya kunywa, ‘Majik Walter’
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Kabila aingiza wapinzani serikalini
11 years ago
CloudsFM04 Aug
ZITTO KABWE AINGIZA SAUTI KWENYE WIMBO MPYA WA LINEX
Staa wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda hivi karibuni ataandika historia kwa kutambulisha video ya ngoma yake “wema kwa ubaya” katika ukumbi flani na tukio hilo kuonyeshwa live kwenye tv station mbili nchini Tanzania, na katika ngoma hiyo itaskika sauti ya mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mheshimiwa Zito Kabwe.
Kwa mara ya kwanza pia linex ameweka rekodi kwa kumlipa mkwanja mrefu director Adam Juma next lavel ambaye hivi karibuni aliwahi kufunguka kuwa tangu aanze kazi yake hajawahi kulipwa zaidi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4hNukqhfhE32DZxEf7QQYDHUr7qVMY2nSdf*FjZEUgYJphFdmrC*TKBUcOWqhdhvoAsB0IfFsgBVbb9dstl9FaVf3RXwytdV/BACKAMANI.jpg)
JIDE, AY LAIVU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaFHyLmzK-Cl-BpnMhW48c42JVYXSkNkLeYq4WkwqI0P0wQwpzZhKTbUlUzjGSz*daU-lFOwUaVg6j7Pz8ruBjFo/jide.jpg?width=650)
JIDE AOMBA TALAKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkbMIcWregXNE2T4ToFxnbHfyKDlfTk8eWWL8qUPrrXsD9W2M2vVt2gKV9ezjCh2AAS3czeb7hVSkcTxpXUWxAj/Jide.gif?width=650)
GARDNER AMKEJELI JIDE!
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Jide ahamia Ujerumani!
Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ au ‘Lady Jaydee’.
Stori: Na Brighton Masalu
MOYONI nina majonzi, sina tofauti na mpofu! Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ au ‘Lady Jaydee’ kwa sasa hana makazi maalum Bongo, amehamishia makazi na shughuli zake katika ardhi ya ‘Kansela’ wa Ujerumani, Angelina Merkel kwenye Jiji la Born.
Katika mazungumzo yake na mwandishi wetu kwa njia ya simu, Jumatatu ya wiki hii, Jide ambaye alidai kwa sasa yupo nchini kwa Sikukuu ya Krismasi (kesho), alisema sababu zilizomfanya...