Kabila aingiza wapinzani serikalini
Rais wa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, Joseph Kabila amebuni serikali ya Muungano ambayo inajumuisha viongozi kadhaa wa upinzani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Jide aingiza sokoni Historia
BAADA ya kufanya vizuri na ngoma yake ya ‘Yahaya’, mwanadada anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa Bongo fleva, Judith Wambura ‘Jide’ amesambaza kazi yake mpya inayojulikana kwa jina la...
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Mwasabwite aingiza ya pili sokoni
MUIMBAJI wa muziki wa injili, Edson Mwasabwite, ameachia albamu ya pili inayojulikana kwa jina la ‘Amenihurumia asilimia mia’. Akizungumzia ujio wa albamu hiyo aliyoirekodi katika studio ya Cke, Mwasabwite amesema...
11 years ago
CloudsFM04 Aug
ZITTO KABWE AINGIZA SAUTI KWENYE WIMBO MPYA WA LINEX
Staa wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda hivi karibuni ataandika historia kwa kutambulisha video ya ngoma yake “wema kwa ubaya” katika ukumbi flani na tukio hilo kuonyeshwa live kwenye tv station mbili nchini Tanzania, na katika ngoma hiyo itaskika sauti ya mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mheshimiwa Zito Kabwe.
Kwa mara ya kwanza pia linex ameweka rekodi kwa kumlipa mkwanja mrefu director Adam Juma next lavel ambaye hivi karibuni aliwahi kufunguka kuwa tangu aanze kazi yake hajawahi kulipwa zaidi...
9 years ago
Bongo509 Sep
King Kaka aingiza sokoni maji ya kunywa, ‘Majik Walter’
9 years ago
Bongo514 Nov
Picha: Jux aingiza sokoni nguo zake za ‘African Boy’
![1209720_1016120505112306_2017605717_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/1209720_1016120505112306_2017605717_n-300x194.jpg)
Pamoja na kuonesha kitita cha $50,000 ambazo ni takriban shilingi milioni 100 kwenye Instagram hivi karibuni, Jux hapunguzi speed za kuchase papers.
Muimbaji huyo wa ‘Looking For You’ aliyerejea China anakoendelea na masomo, ameingiza sokoni nguo za brand yake, African Boy.
Hadi sasa t-shirt za kike na kiume pamoja na kofia za brand hiyo zimeshaingia sokoni. Hizi ni baadhi ya bidhaa hizo.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80483000/jpg/_80483922_80482955.jpg)
10 years ago
BBC20 Jan
Deadly Congo clashes over Kabila
10 years ago
Dewji Blog10 Nov
Nyumba ya asili ya kabila la WAHADZABE!
Jamii ya Kihadzabe wakiwa nje ya nyumba yao katika kijiji cha Kipamba kata ya Mwangeza wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida. (Picha na Nathaniel Limu).
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Maandamano ya kumpinga kabila yafanyika