Nyumba ya asili ya kabila la WAHADZABE!
Jamii ya Kihadzabe wakiwa nje ya nyumba yao katika kijiji cha Kipamba kata ya Mwangeza wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida. (Picha na Nathaniel Limu).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 May
Wahadzabe walia na hujuma za wanaume
10 years ago
Habarileo18 Jan
RC alilia shule ya Wahadzabe isiingiliwe
MKUU wa mkoa wa Singida, Dk Parseko Kone ameiomba Wizara ya Elimu na Ufundi kuitambua shule ya msingi ya bweni katika kijiji cha Munguli, wilayani Mkalama mkoani Singida kuwa ni shule maalumu kwa watoto wa jamii ya Wahadzabe tu.
10 years ago
Dewji Blog18 Jan
RC Singida ataka jamii ya Wahadzabe itambuliwe
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Mkalama mkoa wa Singida, Bravo Lyapembile (wa kwanza kushoto) akisoma taarifa yake mbele ya Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone juu ya ujenzi wa mabweni mawili na nyumba ya matroni ambayo iligharimu zaidi ya shilingi 59 milioni.
Na Nathaniel Limu, Mkalama
MKUU wa Mkoa wa Singida Dr. Parseko Vicent Kone, ameiomba serikali kupitia Wizara ya elimu na Ufundi, kuitambua Shule ya msingi ya bweni ya kijiji cha Munguli kuwa ni shule maalum tu, kwa...
10 years ago
Dewji Blog11 Nov
Serikali kuwalinda Wahadzabe — Waziri Mkuu
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Kongamano la Ufugaji Nyuki Barani Afrika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Novemba 11, 2014.
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kuyalinda makabila madogo nchini yakiwemo ya Wahdazabe na Wasandawe ambayo yanategemea rasilmali misitu kwa maisha yao na ustawi wao.
“Tutakuwa tunafanya makosa kama tutawanyang’anya rasilmali misitu makabila madogo hapa nchini kama vile Wahadzabe, Wandorobo na...
10 years ago
MichuziSERIKALI KUWALINDA WAHADZABE - WAZIRI MKUU
“Tutakuwa tunafanya makosa kama tutawanyang’anya rasilmali misitu makabila madogo hapa nchini kama vile Wahadzabe, Wandorobo na Wasandawe kwani ndiyo rasilami pekee inayowawezesha wapate chakula cha kutosha,” alisema.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumanne, Novemba 11, 2014) wakati akifungua Kongamano la...
10 years ago
Habarileo12 Nov
Wahadzabe, Wasandawe wataendelea kulindwa, asema Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kuyalinda makabila madogo nchini, yakiwemo ya Wahdazabe na Wasandawe ambayo yanategemea rasilimali misitu kwa maisha yao na ustawi wao.
10 years ago
BBC10 years ago
TheCitizen06 Oct
ALLISON: Kabila must listen to his opponents
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Maandamano ya kumpinga kabila yafanyika