Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC Singida ataka jamii ya Wahadzabe itambuliwe

DSC03400

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Mkalama mkoa wa Singida, Bravo Lyapembile (wa kwanza kushoto) akisoma taarifa yake mbele ya Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone juu ya ujenzi wa mabweni mawili na nyumba ya matroni ambayo iligharimu zaidi ya shilingi 59 milioni.

Na Nathaniel Limu, Mkalama

MKUU  wa Mkoa wa Singida Dr. Parseko Vicent Kone, ameiomba serikali kupitia Wizara ya elimu na Ufundi, kuitambua Shule ya msingi ya bweni ya kijiji cha  Munguli kuwa ni shule  maalum tu, kwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Makundi ya jamii Asilia ya Wahadzabe, Wabarabaig,Wamasai waiomba Serikali ya Tanzania kuwatambua kama jamii nyingine!

DSC_0928

Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu, Mh. Idd Ramadhan Mapuri (katikati) akizindua taarifa ya Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kuhusu utafiti wa Hali ya Haki za watu wenye  kuishi maisha asilia Tanzania.  kushoto kwake ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi. Mary Massay  na (kulia) ni  mmoja wa wajumbe walioshiriki kuandaa ripoti hiyo, kutoka nchini Kenya katika taasisi ya ACHPR, Dk. Naomi Kipuri. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

 

Na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Makundi ya jamii asilia ya Wahadzabe, Wabarabaig, Wamasai waiomba Serikali ya Tanzania kuwatambua kama jamii nyingine!

DSC_0928

Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu, Mh. Idd Ramadhan Mapuri (katikati) akizindua taarifa ya Tume ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu kuhusu utafiti wa Hali ya Haki za watu wenye  kuishi maisha asilia Tanzania.  kushoto kwake ni Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bi. Mary Massay  na (kulia) ni  mmoja wa wajumbe walioshiriki kuandaa ripoti hiyo, kutoka nchini Kenya katika taasisi ya ACHPR, Dk. Naomi Kipuri.(Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

Na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Askofu mstaafu Singida ataka jamii kuepuka vishawishi

2

Kanisa la Pentekoste (FPCT) la mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

ASKOFU mstaafu wa kanisa la Pentekoste (FPCT) Singida, mchungaji Paulo Samweli,amewasihi waumini na wananchi kwa ujumla wajenge utamaduni wa kukataa kushawishiwa kirahisi,kwa njia hiyo wanaweza   kujiepusha na mambo ambayo yanaweza kumsababishia washindwe  kuishi kwa amani na utulivu.

Askofu Samwel ametoa wito huo wakati akihubiri kwenye ibada ya kawaida ya waumini wa kanisa la FPCT la mjini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Haki ya ardhi itambuliwe kikatiba’

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Reuben Matango kutoka kundi la wafugaji, amesema ni vema haki ya ardhi na maji vikaingizwa katika katiba. Akizungumza na Tanzania Daima jana katika mahojiano...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Shein ataka matumizi ya huduma za jamii

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed SheinWANANCHI wametakiwa kuzitumia vyema fursa za huduma za jamii zinazopatikana hivi sasa katika maeneo yao zikiwa ni matunda ya utekelezaji wa malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtaka ataka jamii kusaidia wenye uhitaji

MKUU wa Wilaya (DC) ya Mvomero, Anthony Mtaka, ameitaka jamii kubadilika na kuwasaidia watu wenye kuhitaji misaada mbalimbali badala ya kujinufaisha wenyewe kwa mambo yasiyo na tija. Mtaka alitoa kauli...

 

10 years ago

Dewji Blog

RC Singida ataka mipango madhubuti kulinda raslimali maji

DSC01334

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akizungumza kwenye ufunguaji wa warsha ya wadau kujadili rasimu ya mwisho ya taarifa ya mpango wa usimamizi na uendelezaji wa pamoja wa rasilimali za maji wa bodi ya maji ya bonde la kati, liyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aquar Vitae hotel mjini Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone ametoa wito kwa Wizara ya Maji na taasisi zake, kuhakikisha ngazi zote za jamii zinapata taarifa sahihi juu ya umuhimu wa...

 

11 years ago

Habarileo

Mama Kikwete ataka jamii kuwa karibu na yatima

Mama Salma KikweteJAMII ina jukumu la kuwatetea, kuwalinda na kuwasemea watoto yatima ambao ni hazina ya Taifa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Dk. Kone abariki mifuko ya afya ya Jamii ya CHF, TIKA mkoani Singida

UCHUMI WA MKOA WA SINGIDA WAANZA KUPANDA - TBC January 17 2015

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone.

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, amezitaka halmashauri za wilaya na manispaa, kuweka mipango endelevu ya kuongeza michango ya wananchama wa mifuko ya afya ya jamii (CHF) na TIKA, ili mkoa uweze kujijengea uwezo wa kutoa huduma bora kwa wanachama wa mifuko hiyo.

Dk. Kone ametoa wito huo wakati akifungua kikao cha kazi cha kuhamasisha CHF na TIKA kwa viongozi wa mkoa na halmashauri zote mkoani hapa.

Katika hotuba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani