Dk Shein ataka matumizi ya huduma za jamii
WANANCHI wametakiwa kuzitumia vyema fursa za huduma za jamii zinazopatikana hivi sasa katika maeneo yao zikiwa ni matunda ya utekelezaji wa malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MUONGOZO WA MPANGO HUDUMA ZA AFYA KATIKA JAMII PAMOJA NA MATUMIZI YA DASHBODI YA VIASHIRIA YA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s640/001.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/002.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/003.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy...
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
Wagharamie hujuma za jamii badala ya huduma za jamii
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_dBr7FLEX24/Xm-b3vTzW7I/AAAAAAALj7w/xpnjaSq43qcGgvA3XmYan43tDIq0Xk4RACLcBGAsYHQ/s72-c/0c82b8ba-5145-42a8-a440-3531bad6450a.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA HUDUMA NA MAENDELEO YA JAMII YAITAKA SERIKALI KUONGEZA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO YA JAMII
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeitaka Serikali kuongeza na kutoa fedha za miradi ya maendeleo ya jamii katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini.
Akitoa maelekezo kwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto inayosimamia Taasisi ya Maendeleo ya Jamii leo tarehe 16/03/2020 mkoani Arusha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba ametaka ...
10 years ago
Habarileo20 Mar
‘Elimisheni jamii matumizi sahihi ya maji’
MAMLAKA za majisafi na usafi wa mazingira nchini zimetakiwa kutumia maadhimisho ya Wiki ya Maji kuelimisha watumiaji wa huduma hizo matumizi sahihi ya maji kukabili ongezeko la Ankara za maji.
10 years ago
Mtanzania10 Aug
Jamii yashauriwa kuzingatia matumizi salama ya mitandao
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
WATAALAMU wa mitandao wametoa wito kwa jamii juu ya matumizi salama ya mitandao ili kupunguza uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wa mawasiliano, mtaalamu wa usalama katika mitandao na uchunguzi wa makosa ya digitali, Yusuph Kileo, alisema matumizi mabaya ya mitandao yasipodhibitiwa yanaweza kuchangia kuyumba kwa...
10 years ago
Dewji Blog18 Jan
Ataka taarifa za matumizi zisomwe kujenga imani
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida, Bravo Lyapembile, katika picha.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Mkalama
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya Mkalama mkoani singida, Bravo Lyapambile, amewaagiza maafisa watendaji Kata kutoa/kusoma taarifa za michango mbalimbali ikiwemo ya ujenzi wa maabara kwa wakati,ili wananchi waendelee kuamini halmashauri yao.
Amesema kwa njia hiyo wananchi watajenga imani na Halmashauri yao kwamba michango yao...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/AWFi-iAZInE/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Jan
RC Singida ataka jamii ya Wahadzabe itambuliwe
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Mkalama mkoa wa Singida, Bravo Lyapembile (wa kwanza kushoto) akisoma taarifa yake mbele ya Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk. Parseko Kone juu ya ujenzi wa mabweni mawili na nyumba ya matroni ambayo iligharimu zaidi ya shilingi 59 milioni.
Na Nathaniel Limu, Mkalama
MKUU wa Mkoa wa Singida Dr. Parseko Vicent Kone, ameiomba serikali kupitia Wizara ya elimu na Ufundi, kuitambua Shule ya msingi ya bweni ya kijiji cha Munguli kuwa ni shule maalum tu, kwa...
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII AKEMEA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-IJ4aPt-HpNY/UwRfreF0EGI/AAAAAAAFN3k/a3fZWaDHSq4/s1600/Katibu+Mkuu+wizara+ya+Maendeleo+ya+Jamii+Anna+Maembe+akizungumza+na+wataalamu+wa+wilaya+ya+Kalambo+Mkoa+wa+Rukwa+jana.+Kushoto+ni+Mkuu+wa+wilaya+Moshi+Chang'a+na+kulia+ni+Kaimu+Mkurugenzi+Herbert+Bilia+.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-839lJW_mepg/UwReWv0Sz9I/AAAAAAAFN3U/g2Lb40a-vPk/s1600/DC+wa+Kalambo+Mkoani+Rukwa+Moshi+Chang'a+akikabidhi+hundi+ya+shilingi+milioni+7+kwa+Kaimu+Mkurugenzi+wa+Halmashauri+ya+wilaya+hiyo+Herbert+Bilia.+Kulia+ni+Katibu+Mkuu+wazara+ya+Meanedeleo+ya+Jamii+aliyetoa+hundi+hiyo.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-L-m0e43rk-k/UwResIzVoPI/AAAAAAAFN3c/d_8jaUsUxOs/s1600/Mkuu+wa+wilaya+Kalambo+Mkoani+Rukwa+Moshi+Chang'a+akizungumza+wakati+wa+ziara+ya+Katibu+Mkuu+wizara+ya+Maendeleo+ya+Jamii+Anna+Maembe+(katikati)+wilayani+humo+jana.+Kulia+ni+Kaimu+Mkurugenzi+Herbert+Bilia+.jpg)