SERIKALI YAZINDUA MUONGOZO WA MPANGO HUDUMA ZA AFYA KATIKA JAMII PAMOJA NA MATUMIZI YA DASHBODI YA VIASHIRIA YA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akisoma maelezo baada ya kuzindua Muongozo wa Mpango wa Watoa huduma ya Afya ya Jamii, Dar es Salaam jana. Wizara ya Afya imezindua muongozo huwa ikiwa ni muendelezo wa kuendelea kutoa kipaumbele katika kuimarisha huduma za kinga, ikiwemo elimu ya afya na uhamasishaji, lishe, udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza kama Ukimwi na afya ya mama na mtoto.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CkyPFx_doiA/Vef6c2Hb1KI/AAAAAAAH2Ac/CY2yR8zY9cQ/s72-c/Health%2BPix%2B2.jpg)
SERIKALI YAHAIDI KUZIDI KUPIGA JEKI WAFANYAKAZI WA AFYA YA JAMII KUBORESHA AFYA YA JAMII VIJIJINI
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa mradi wa mafunzo ya wafanyakazi wa afya ya jamii (Community Health Worker Learning Agenda Project - CHW-LAW) jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji (idara ya uzazi na afya ya mtoto)...
9 years ago
VijimamboWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII YAZINDUA MFUMO WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA VITUO VYA AFYA TANZANIA BARA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-CwYCyrRaXqU/XphmZSMkujI/AAAAAAALnL8/nrO9hs0vnHwXNmwzxnLzxPqm-mX1zAR1wCLcBGAsYHQ/s72-c/14b43549-a3da-400b-a420-c6817ec22531.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MPANGO WA KUTOA ELIMU YA AFYA KWA WAKAZI WA DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwYCyrRaXqU/XphmZSMkujI/AAAAAAALnL8/nrO9hs0vnHwXNmwzxnLzxPqm-mX1zAR1wCLcBGAsYHQ/s400/14b43549-a3da-400b-a420-c6817ec22531.jpg)
Serikali imezindua mpango maalumu wa kutoa elimu ya afya kwa umma katika Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na kuwapo kwa ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa Corona ikiwa ni mwendelezo wa kuwafikia watu wengi katika ngazi ya mtaa.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizundua mpango wa elimu ya afya kwa...
9 years ago
StarTV06 Jan
Serikali ya Zanzibar yaweka mpango mkakati Kuimarisha Huduma Za Afya
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Ali Mohammed Shein amesema mpango mkakati wa Serikali ni kuimarisha huduma za afya na kuigeuza Hospitali kuu ya Mnazi mmoja kuwa ya rufaa kwa majengo na uimarishaji huduma, vifaa na watendaji wa kada hiyo.
Amesema wakati sasa umefika kwa wananchi wa Zanzibar kufaidika na huduma bora za afya kwa urahisi na gharama nafuu kila inapohitajika ili kwenda sambamba na malengo ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 64 ya kuimarisha huduma za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CwYCyrRaXqU/XphmZSMkujI/AAAAAAALnL8/nrO9hs0vnHwXNmwzxnLzxPqm-mX1zAR1wCLcBGAsYHQ/s72-c/14b43549-a3da-400b-a420-c6817ec22531.jpg)
Serikali yazindua mpango maalumu wa kutoa elimu ya afya kwa wakazi wa Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwYCyrRaXqU/XphmZSMkujI/AAAAAAALnL8/nrO9hs0vnHwXNmwzxnLzxPqm-mX1zAR1wCLcBGAsYHQ/s640/14b43549-a3da-400b-a420-c6817ec22531.jpg)
Serikali imezindua mpango maalumu wa kutoa elimu ya afya kwa umma katika Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na kuwapo kwa ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa Corona ikiwa ni mwendelezo wa kuwafikia watu wengi katika ngazi ya mtaa.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizundua mpango wa elimu ya afya kwa umma kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OJaNpSvkHVU/XmefzdfTmpI/AAAAAAALic8/O5t1lKOORFAjztCgwCKChGFtsB40xKNZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_1AA-768x512.jpg)
SERIKALI YAPITIA RASIMU YA MUONGOZO WA KUANDAA MPANGO WA RASILIMALI WATU KATIKA UTUMISHI WA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OJaNpSvkHVU/XmefzdfTmpI/AAAAAAALic8/O5t1lKOORFAjztCgwCKChGFtsB40xKNZQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_1AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_2AAA-1024x682.jpg)
Mkurugenzi Msaidizi wa Mipango ya Rasilimaliwatu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala...
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
NHIF yazindua awamu ya pili ya Kampeni ya uhamasishaji Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF)
Mkuu wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Mh. Abdallah Ulega akipokea mashuka 150 kutoka kwa Rehani Athumani Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti Mfuko wa Bima ya Afya ya jamii CHF yaliyotolewa na mfuko huo kwa wilaya ya Kilwa wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji wananchi kujiunga na mfuko wa Bima ya Taifa ya Afya NHIF uliofanyika katika kijiji cha Njia Nne Kata ya Tingi, Katikati ni Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa mkoani Lindi Bi Fortunata Raymond.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...
11 years ago
MichuziVIONGOZI WA KAMATI ZA AFYA ZA SHEHIYA WAPATIWA MAFUNZO JUU YA MIKAKATI YA AFYA YA JAMII ZANZIBAR
Amesema kuwa endapo mpango huo ukihamasishwa kwa jamii utaweza kuwasaidia wananchi katika kujikwamua na matatizo ya kujikinga na maradhi mbalimbali yanayojitokeza katika maeneo yao .
Akizungungumza katika ufunguzi wa mafunzo juu ya mkakati wa afya ya jamii...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rXYNE7n4hZo/Xu3CzYNOV0I/AAAAAAALutY/yhOfxIQpN4wD_9KsneY3PAoZ67BxerHNQCLcBGAsYHQ/s72-c/NK.-1-Kitabu-cha-WagonjwaAAAAAAAAAAAA-768x513.jpg)
WATAALAMU WA AFYA ENDELEZENI USIMAMIZI SHIRIKISHI WA AFYA MAZINGIRA SHULENI NA KWENYE JAMII-DKT.GWAJIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rXYNE7n4hZo/Xu3CzYNOV0I/AAAAAAALutY/yhOfxIQpN4wD_9KsneY3PAoZ67BxerHNQCLcBGAsYHQ/s640/NK.-1-Kitabu-cha-WagonjwaAAAAAAAAAAAA-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/NK.2-Naibu-katibu-Mutuka-2AAAAAAAAAAAAAAAA-1024x684.jpg)
Naibu Katibu Mkuu akizungumza na uongozi pamoja na wananchi mara baada yakukagua kituo hicho cha Afya kilicho pokea kiasi cha Mil.200 kwaajili ya ujenzi huo (Picha zote na OR-TAMISEMI)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/NK.2-ChakulaAAAAAAAAAAAAA-1024x684.jpg)
Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI, anayeshughulikia Afya, Dkt. Dorothy Gwajima akipata chakula na kuhakiki ubora wa chakula...