Serikali yazindua mpango maalumu wa kutoa elimu ya afya kwa wakazi wa Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwYCyrRaXqU/XphmZSMkujI/AAAAAAALnL8/nrO9hs0vnHwXNmwzxnLzxPqm-mX1zAR1wCLcBGAsYHQ/s72-c/14b43549-a3da-400b-a420-c6817ec22531.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akiongea wakati wa kuzindua mpango huo.
Serikali imezindua mpango maalumu wa kutoa elimu ya afya kwa umma katika Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na kuwapo kwa ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa Corona ikiwa ni mwendelezo wa kuwafikia watu wengi katika ngazi ya mtaa.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizundua mpango wa elimu ya afya kwa umma kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-CwYCyrRaXqU/XphmZSMkujI/AAAAAAALnL8/nrO9hs0vnHwXNmwzxnLzxPqm-mX1zAR1wCLcBGAsYHQ/s72-c/14b43549-a3da-400b-a420-c6817ec22531.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MPANGO WA KUTOA ELIMU YA AFYA KWA WAKAZI WA DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwYCyrRaXqU/XphmZSMkujI/AAAAAAALnL8/nrO9hs0vnHwXNmwzxnLzxPqm-mX1zAR1wCLcBGAsYHQ/s400/14b43549-a3da-400b-a420-c6817ec22531.jpg)
Serikali imezindua mpango maalumu wa kutoa elimu ya afya kwa umma katika Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na kuwapo kwa ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa Corona ikiwa ni mwendelezo wa kuwafikia watu wengi katika ngazi ya mtaa.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizundua mpango wa elimu ya afya kwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--3EC08rXxKU/Xphq23SOUrI/AAAAAAAC3Mo/FmCQtloLMuEgDOElow_rYNwaHuMyPIj7QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MPANGO MAALUMU WA KUTOA ELIMU YA AFYA DAR ES SALAAM WAZINDULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/--3EC08rXxKU/Xphq23SOUrI/AAAAAAAC3Mo/FmCQtloLMuEgDOElow_rYNwaHuMyPIj7QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Serikali imezindua mpango maalumu wa kutoa elimu ya afya kwa umma katika Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na kuwapo kwa ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa Corona ikiwa ni mwendelezo wa kuwafikia watu wengi katika ngazi ya mtaa.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizundua mpango wa elimu ya afya kwa umma kwa siku 20 ambao utaongozwa na vikundi vya kijamii kwa kushirikiana na Red Cross chini ya Wizara ya Afya.
Waziri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MUONGOZO WA MPANGO HUDUMA ZA AFYA KATIKA JAMII PAMOJA NA MATUMIZI YA DASHBODI YA VIASHIRIA YA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s640/001.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/002.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/003.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-13-768x589.jpg)
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) Inatekeleza Haki za Binadamu Kwa Kutoa Afya na Elimu Bure- Dkt.Shein
![](https://1.bp.blogspot.com/-1woumhtlWhk/XuC3vvFcFII/AAAAAAALtUk/yLSOcgWn_PUXf6uhfkiky7mFItSIqG0UwCLcBGAsYHQ/s640/1-13-768x589.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-1-1-1024x683.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (pichani), walipomtembelea Ofisini kwake Ikulu Zanzibar, kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DKT. SHEIN: SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR (SMZ) INATEKELEZA HAKI ZA BINAADAMU KWA KUTOA AFYA NA ELIMU BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JSDaAJaULeE/XuDQUhL8oVI/AAAAAAAC7PE/qAQLnI_jlFg4LMuEp2G214XuSCjHZmsUwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akizungumza alipokutana na ujumbe wa watendaji wa juu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Ikulu Zanzibar, Dkt. Shein alisema kuwa Serikali inatakeleza kwa vitendo dhana ya utawala bora ikiwa ni utekelezaji wa dhana iliyoasisiwa na Hayati. Abeid...
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Serikali khuduma ya maji kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
Na. Georgina Misama – Maelezo
[DAR ES SALAAM] Serikali inatarajia kuzalisha maji lita milioni 270 kwa siku baada...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b3_6SbxawIc/Vkspvn-ZwtI/AAAAAAAIGbM/vkorSoLEObM/s72-c/Sharif%2B01.jpg)
Serikali Kuboresha Huduma ya Maji kwa Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam
Serikali inatarajia kuzalisha maji lita milioni 270 kwa siku baada ya kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Chanzo cha Maji cha Ruvu Chini na upanuzi wa mtambo wa kusafishia maji.
Mradi huo unaotekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Kimarekani la Millenium Challenge Co-operation umegharimu kiasi cha shilingi bilioni 66.24 na unatarajiwa kukamilika wakati wowote baada ya kukamilika kwa kazi ya kulaza bomba linalosafirisha maji toka Ruvu chini kuja...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zlRAFyrSFsQ/XnDL7IoCx8I/AAAAAAACEcY/uwMn0D4LKHcU8B37lYEZ7f3MYVVNBJAWQCLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI0495.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MPANGO MAALUM WA KUTOA MAONI KWA NJIA YA "QR CODE"
"Anachotakiwa kufanya mteja ni kuscan kwenye QR Code kwa kutumia simu yake ya smart ambayo imeunganishwa na internet, Mteja atafungua camera ya simu yake na kuscan kwenye QR Code ambazo zinapatikana kwenye matawi yote...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9VjA3UxgulI/XmuLKkzP0II/AAAAAAACEZw/CdLtP6_1mco2vlJbCXSiZsWXptuyXGU4gCLcBGAsYHQ/s72-c/OTMI9931.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MPANGO MAALUMU WA KUWAWEZESHA WANAWAKE KUSHIKA NAFASI ZA UONGOZI
Akizindua mpango huo katika hoteli ya Johari Rotana Jijini Dar es salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Abdulmajid Nsekela alisema, Mpango huo ni mahususi katika kuwawezesha wanawake wa CRDB Banki ili waweze kuwa viongozi katika nyanja mbalimbali pamoja na kuwafanya waweze kujiamini na kukamata fursa zilizopo.
Mpago huo ni mwendelezo wa...