Wahadzabe, Wasandawe wataendelea kulindwa, asema Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali itaendelea kuyalinda makabila madogo nchini, yakiwemo ya Wahdazabe na Wasandawe ambayo yanategemea rasilimali misitu kwa maisha yao na ustawi wao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo17 Feb
Mama Pinda asema Vicoba inakua kwa kasi
MKE wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda amesema miongoni mwa mifumo ya fedha inayokuwa kwa kasi nchini ni Benki za Vijijini (Vicoba). Alisema hayo juzi Kimanga, Dar es Salaam alipokuwa akizindua rasmi muungano wa Vicoba wenye vikundi 71 vyenye wanachama 600, ambao ndio waliopo katika mchakato wa Muungano huo.
10 years ago
Mwananchi11 Jan
Pinda asema kauli yake ya wapigeni ilimaanisha amani
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Ndesamburo: CCM wataendelea kunisindikiza Moshi Mjini
10 years ago
Vijimambo19 Oct
Ndesamburo: CCM wataendelea kunisindikiza Moshi Mjini
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2491848/highRes/853934/-/maxw/600/-/a3yi73/-/ndesa+px.jpg)
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Toto wataendelea kuwa watoto wa Yanga au vinginevyo?
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Kobane yatakiwa kulindwa dhidi IS
10 years ago
Habarileo08 Jun
Kinana akerwa mafisadi kulindwa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea watu wanaotumia siasa kama kichaka cha kuficha dhambi zao kwa kufanya ufisadi, lakini wanapobainika, hujitetea kwa kusema wanafanyiwa hivyo kutokana na siasa.
10 years ago
Habarileo13 Apr
Watafiti madini nchini kuendelea kulindwa
SERIKALI imesema kuwa itaendelea kuwalinda wawekezaji wenye leseni wanaofanya utafiti wa madini wa hapa nchini ili waanze uzalishaji mara moja.