Pinda asema kauli yake ya wapigeni ilimaanisha amani
>Neno “piga†lina maana ya “fanya kitendo cha kukutanisha vitu kwa nguvu, fumua, ezeka, zaba, shambulia, chapa na tandika†kwa mujibu wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu, Oxford, lakini kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda neno “wapigeni†lilimaanisha “kuendelea kulinda amaniâ€.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Mbatia asema kauli ya Werema imejaa unafiki
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Kikwete atahadharisha kauli za uvunjifu wa amani
10 years ago
Habarileo13 Feb
Kauli ya Pinda yawazindua Takukuru
SIKU chache baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kukiri bungeni kuwapo baadhi ya watendaji serikali wanaotumia migogoro kati ya wakulima na wafugaji kujinufaisha, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema inaanza kufuatilia.
11 years ago
Mwananchi14 Dec
‘Kauli ya Pinda yaonyesha udhaifu’
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Kauli ya ‘Zanzibar siyo nchi’ yamponza Waziri Mkuu Pinda
10 years ago
Mtanzania19 Mar
Msuya akumbuka machungu ya kauli yake
Elias Msuya na Elizabeth Hombo
WAZIRI Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya, amekumbusha machungu ya kauli yake ya zamani ya “kila Mtanzania ataubeba msalaba wake”, huku akiwataka Watanzania kuacha kuwa walalamikaji kwa kila jambo.
Msuya aliyewahi kuwa waziri mkuu mara mbili (Novemba 7, 1980 hadi Februari 1983 na Desemba 7, 1994 hadi Novemba 28, 1995), alitoa kauli hiyo bungeni akiwa waziri wa fedha mwaka 1989.
Akizungumza jana katika uzinduzi wa Kavazi la Mwalimu Nyerere lililoandaliwa na Kituo cha...
10 years ago
Mwananchi11 Jan
Lowassa asema kulinda amani jukumu la wote
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7gM0e-yDnw4/default.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Dec
Sala, maombi kudumisha amani asema Mama Maria Nyerere
MJANE wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere, amepokea nishani ya kudumisha na kuhamasisha amani nchini, huku akimtaka kila mwananchi kwa nafasi yake kuombea taifa.