Kauli ya Pinda yawazindua Takukuru
SIKU chache baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kukiri bungeni kuwapo baadhi ya watendaji serikali wanaotumia migogoro kati ya wakulima na wafugaji kujinufaisha, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema inaanza kufuatilia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
HabarileoPinda aagiza Takukuru, CAG wachunguze IPTL
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) pamoja na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wameagizwa kuchunguza na kujiridhisha kama kweli upo uchotaji wa mabilioni ya shilingi katika akaunti ya Escrow iliyokuwa imefunguliwa ndani ya Benki Kuu (BoT) kwa ajili ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).
11 years ago
Mwananchi14 Dec
‘Kauli ya Pinda yaonyesha udhaifu’
Baadhi ya wanasiasa na wanaharakati wamemkosoa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kutokana na kutamani kung’olewa kwenye nafasi, wakidai kuwa kauli yake inaonyesha jinsi alivyo mpole na dhaifu kiutendaji .
10 years ago
Mwananchi11 Jan
Pinda asema kauli yake ya wapigeni ilimaanisha amani
>Neno “piga†lina maana ya “fanya kitendo cha kukutanisha vitu kwa nguvu, fumua, ezeka, zaba, shambulia, chapa na tandika†kwa mujibu wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu, Oxford, lakini kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda neno “wapigeni†lilimaanisha “kuendelea kulinda amaniâ€.
11 years ago
Mwananchi26 Aug
Kauli ya ‘Zanzibar siyo nchi’ yamponza Waziri Mkuu Pinda
Madai ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuingia katika kinyang’anyiro cha urais yameibua mjadala mkali kutoka kwa baadhi ya wanasiasa, wasomi na wananchi wa Zanzibar ambao wamesema hafai kutokana na kauli yake kuwa ‘Zanzibar si nchi’.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania