Pinda aagiza Takukuru, CAG wachunguze IPTL
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) pamoja na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wameagizwa kuchunguza na kujiridhisha kama kweli upo uchotaji wa mabilioni ya shilingi katika akaunti ya Escrow iliyokuwa imefunguliwa ndani ya Benki Kuu (BoT) kwa ajili ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Nov
CAG, Takukuru, TRA: Fedha za Escrow za umma
10 years ago
Mwananchi19 Nov
Vigogo Takukuru, TRA, CAG ‘kikaangoni’ Kamati ya Zitto
10 years ago
Mtanzania17 Oct
CAG kuifuata IPTL Oman
![Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Zitto-Kabwe.jpg)
Zitto Kabwe
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amesema taarifa alizopewa na Ofisi ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), hadi sasa ni muhusika mmoja pekee ambaye hajahojiwa juu ya uchotwaji wa mabilioni ya fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow iliyofunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Amesema kwa sasa kazi itakayofanywa na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ni kufanya mahojiano na mmoja wa wahusika, Mkurugenzi wa...
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Rugemalira wa IPTL sasa ‘mikononi’ mwa Takukuru
11 years ago
Tanzania Daima20 Jul
IPTL yamfikisha Mnyika kwa CAG
KASHFA ya uchotajwa wa sh bilioni 200 katika akaunti ya Escrow kwenda kwa Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited (PAP) iliyonunua hisa za kampuni ya kufua umeme ya...
10 years ago
TheCitizen17 Oct
CAG wants more time to wind up IPTL audit
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
IPTL majanga, vigogo wa Takukuru kutua kwa Zitto
KASHFA kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh. bilioni 200, zilizohifadhiwa kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT), limeibua tafrani mpya Bungeni baada ya baadhi ya wabunge kuhoji...
10 years ago
Habarileo17 Oct
Ofisi ya CAG yaendelea kukusanya vielelezo IPTL
OFISI ya Taifa ya Ukaguzi (NAO) imesema imeshindwa kukamilisha ukaguzi maalumu unaofanywa dhidi ya kampuni ya kufua umeme ya IPTL kwa wakati kutokana na kazi hiyo kuhitaji ukusanyaji wa kina wa vielelezo vinavyojitosheleza.
11 years ago
Mwananchi12 May
CAG Utouh achunguza Sh200 bilioni za IPTL