Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IPTL majanga, vigogo wa Takukuru kutua kwa Zitto

KASHFA kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Escrow zaidi ya sh. bilioni 200, zilizohifadhiwa kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT), limeibua tafrani mpya Bungeni baada ya baadhi ya wabunge kuhoji...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vigogo Takukuru, TRA, CAG ‘kikaangoni’ Kamati ya Zitto

>Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) leo inaanza kuwahoji watu mbalimbali waliohusika katika uchunguzi au tuhuma za kashfa ya IPTL kuhusu uchotaji wa Sh306 bilioni katika akaunti ya Escrow iliyoko katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

 

10 years ago

Habarileo

Takukuru mashahidi 15 kesi ya vigogo MSD

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inatarajia kuwa na mashahidi 15 na vielelezo 12 katika kesi ya kuingiza vipimo bandia vya Virusi vya Ukimwi (HIV) inayowakabili vigogo wa Bohari ya Dawa (MSD) na wenzao.

 

10 years ago

Mwananchi

Rugemalira wa IPTL sasa ‘mikononi’ mwa Takukuru

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema imemhoji na inaendelea kumchunguza mmiliki mwenza wa zamani wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL), James Rugemalira.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda aagiza Takukuru, CAG wachunguze IPTL

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) pamoja na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wameagizwa kuchunguza na kujiridhisha kama kweli upo uchotaji wa mabilioni ya shilingi katika akaunti ya Escrow iliyokuwa imefunguliwa ndani ya Benki Kuu (BoT) kwa ajili ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).

 

10 years ago

Mtanzania

IPTL yamshtaki Zitto

Zitto Kabwe

Zitto Kabwe

NA MWANDISHI WETU

KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili, wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini,  Zitto Kabwe (Chadema).

Pia IPTL imewafungulia kesi watu wengine wawili, huku wakitaka kulipwa fidia ya Sh. bilioni 500.

Mbali na IPTL, wengine waliofungua kesi hiyo  Septemba 4, mwaka huu kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na  Kay Felician Mwesiga...

 

10 years ago

TheCitizen

We’re facing threats over IPTL, says Zitto

Members of Parliament’s Public Accounts Committee (PAC) claim they are being intimidated by powerful politicians with vested interest in the Tegeta escrow account saga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauzo ya IPTL yamwibua Zitto

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, ameeleza kushtushwa na taarifa za mauzo ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kwa Kampuni...

 

10 years ago

Dewji Blog

IPTL yamburuza Zitto kortini

iptl_1

 

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.

Na Mwandishi wetu

KAMPUNI ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wadai wengine wawili wamefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu dhidi ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na wengine wawili wakitaka kulipwa fidia ya shi bilioni 500 kwa kashfa alizotoa kimaandishi dhidi yao.

 Mbali na IPTL,  wengine waliofungua kesi hiyo Septemba 4, kupitia wakili Melchisedeck Lutema wa Asyla Attorneys na  Kay Felician Mwesiga wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani