Rugemalira wa IPTL sasa ‘mikononi’ mwa Takukuru
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imesema imemhoji na inaendelea kumchunguza mmiliki mwenza wa zamani wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL), James Rugemalira.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Watendaji Kinondoni mikononi mwa Takukuru
MHANDISI wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya, Ofisa Mipango Miji, Christopher na Ofisa Mtendaji wa Osterbay, Kata ya Msasani, aliyetajwa naye kwa jina moja la Mushi wanashikiliwa na Taasisi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mZRLGWcE8Es/XtnNaAlBDJI/AAAAAAALsqM/zNTRLrqg2M0jXeBiUW_BomM_HsNXkaTjgCLcBGAsYHQ/s72-c/c8cbf77a760ad8d1ed89647e60735a7a.png)
MWENYEKITI KAMATI YA MAZINGIRA MTAA WA TAMBUKARELI MIKONONI MWA TAKUKURU KWA KUJIFANYA OFISA ARDHI ILI KUPATA FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-mZRLGWcE8Es/XtnNaAlBDJI/AAAAAAALsqM/zNTRLrqg2M0jXeBiUW_BomM_HsNXkaTjgCLcBGAsYHQ/s320/c8cbf77a760ad8d1ed89647e60735a7a.png)
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam inamshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Mazingira wa Mtaa wa Tambukareli Kata ya Azimio kwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kinyume cha kifungu cha sheria namba 302 cha sheria ya kanuni za adhabu sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.
Akizungumzia kukamatwa na kushikiliwa kwa mtuhumiwa huyo Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam Donacian Kessy...
9 years ago
VijimamboCOMRADE MWIGULU NCHEMBA ATUA BUKOMBE,SASA JIMBO LA BUKOMBE MIKONONI MWA CCM
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Yondani mikononi mwa TFF
BENCHI la ufundi la timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake Mart Nooij, limesema halitambui sababu za beki wa timu hiyo Kelvin Yondani kushindwa kwenda kambini,...
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Sherehe 30 mikononi mwa Magufuli
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Mbowe mikononi mwa polisi
JOPO la Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na wanachama wa chama hicho, leo wamepanga kumsindikiza mwenyekiti wao Freeman Mbowe aliyeitwa Makao Makuu ya Polisi kwa ajili ya...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Wanusurika kifo mikononi mwa sungusungu
WATU watatu wanaotuhumiwa kwa wizi wamenusurika kuuawa na sungusungu katika Kijiji cha Igumo, Kata ya Chabutwa, wilayani Igunga, Tabora. Watuhumiwa hao ni Shija Shija (27), Mathew John (26) na Mathias...
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Mwema, Mwamunyange mikononi mwa Kikwete
WAKATI shinikizo la kumtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kujiuzulu ama awajibishwe kutokana na kashfa ya ukatili mauaji dhidi ya wananchi wakati wa Operesheni Tokomeza Ujangili likizidi kushika kasi, vumbi jipya...
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Kijana aokolewa mikononi mwa Wanamgambo