Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kijana aokolewa mikononi mwa Wanamgambo

Kijana mwenye asili ya Uingereza aokolewa na Baba yake baada ya kujiunga na wapiganaji wa Jihadi nchini Syria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kijana aokolewa akiwa hai Nepal

Kijana mwenye umri wa miaka 15 ameokolewa akiwa hai baada ya kufunikwa na kifusi cha Jengo

 

10 years ago

StarTV

Kijana aokolewa akiwa hai toka katika kifusi Nepal.

Watoa huduma za uokoaji huko mji mkuu wa Nepal Kathmandu, wamefanikiwa kumuokoa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 15 aliyepatikana hai baada ya funikwa na vifusi vya jengo alilokuwemo wakati wa tetemeko la ardhi kukumba taifa hilo siku tano zilizopita.

Licha ya kuwa chini ya maporomoko hayo kwa siku hizo tano isaidiwa na mwanya uliokuwa ukipenyeza hewa iliyomwezesha kupumua japo kwa shida.

Makundi ya watu walimshangilia alipotolewa huku akionekana akijitahidi kufungua macho yake.Alikimbizwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbowe mikononi mwa polisi

JOPO la Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na wanachama wa chama hicho, leo wamepanga kumsindikiza mwenyekiti wao Freeman Mbowe aliyeitwa Makao Makuu ya Polisi kwa ajili ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Sherehe 30 mikononi mwa Magufuli

Sherehe 30 za maadhimisho ya kitaifa zinazofanyika nchini kila mwaka huenda ‘zikachinjwa’ kutokana na kasi ya Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli ya kupunguza gharama na kubana matumizi ya Serikali yasiyo ya lazima.     

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yondani mikononi mwa TFF

BENCHI la ufundi la timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake Mart Nooij, limesema halitambui sababu za beki wa timu hiyo Kelvin Yondani kushindwa kwenda kambini,...

 

10 years ago

BBCSwahili

''Niliponea kifo mikononi mwa Al Shabaab''

Douglas Ondari Ochodho ni mmoja wa watu waliokumbana na Al Shabaab wakiwa safarini kondoka Mandeara. Anasimimulia yaliyomkumba

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwema, Mwamunyange mikononi mwa Kikwete

WAKATI shinikizo la kumtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda kujiuzulu ama awajibishwe kutokana na kashfa ya ukatili mauaji dhidi ya wananchi wakati wa Operesheni Tokomeza Ujangili likizidi kushika kasi, vumbi jipya...

 

11 years ago

Mtanzania

Hatima ya Kibonde mikononi mwa Polisi

Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde

Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde

Na Asifiwe George, Dar es Salaam

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura, amesema Jeshi hilo kwa sasa lipo katika uchunguzi dhidi ya mtangazaji wa Kituo cha Redio cha Clouds FM, Ephraim Kibonde na mwenzake, Gadna Habash wa Times FM, ambao wameachiwa huru kwa dhamana.

Kamanda Wambura aliliambia MTANZANIA jana kwamba baada ya uchunguzi huo, iwapo watapatikana na hatia, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao, ikiwa ni pamoja na...

 

10 years ago

Mwananchi

Hatima ya Bunge la Katiba mikononi mwa JK

>Hatima ya Bunge Maalumu la Katiba imebaki mikononi mwa Rais Jakaya Kikwete, ambalo limemwandikia barua kiongozi huyo wa nchi kutaka ufafanuzi wa kisheria kuhusu tarehe ya mwisho ya kumaliza vikao vyake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani