Kijana aokolewa akiwa hai toka katika kifusi Nepal.
Watoa huduma za uokoaji huko mji mkuu wa Nepal Kathmandu, wamefanikiwa kumuokoa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 15 aliyepatikana hai baada ya funikwa na vifusi vya jengo alilokuwemo wakati wa tetemeko la ardhi kukumba taifa hilo siku tano zilizopita.
Licha ya kuwa chini ya maporomoko hayo kwa siku hizo tano isaidiwa na mwanya uliokuwa ukipenyeza hewa iliyomwezesha kupumua japo kwa shida.
Makundi ya watu walimshangilia alipotolewa huku akionekana akijitahidi kufungua macho yake.Alikimbizwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLaeN0USWN0ePczV5SNlUe7WhJ9f9W4rACov6pIjTVPD8lHdbttw2YDgvtSJF-wH20uKIdf11ZBgmGdwFtU2DyWMh/150430072306_nepal_teenager_rescued_five_days_640x360_reuters_nocredit.jpg?width=650)
NEPAL: KIJANA AOKOLEWA AKIWA HAI BAADA YA KUFUNIKWA NA KIFUSI KWA SIKU TANO
10 years ago
BBCSwahili30 Apr
Kijana aokolewa akiwa hai Nepal
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Kijana aokolewa mikononi mwa Wanamgambo
10 years ago
Vijimambo08 Jan
INAUMA SANA KUONA MSANII MWENZETU KIJANA DAZ BABA AKIWA KATIKA KHALI HII MBAYA...TUMSAIDIE JAMANI
![](http://photos-c.ak.instagram.com/hphotos-ak-xaf1/t51.2885-15/10890670_1557124857900778_1233432370_n.jpg)
11 years ago
CloudsFM17 Jul
MWILI WA KIJANA ALIYEFUKIWA NA KIFUSI MKOANI KILIMANJARO ULIVYOTOLEWA NA WANANCHI
Licha ya kukabiliwa na changamoto ya zana hafifu kwa ajili ya zoezi la ufukuaji wa vifusi katika tukio hilo la kufukiwa kwa watu wawili,lakini vijana wa eneo hilo la Rongoma,mkoani Kilimanjaro walifanya shughuli hiyo ya ufukuaji kwa ushirikiano mkubwa.
Hatimaye mwili wa kijana huyo ukaonekana.
Shughuli za kufukua kifusi katika eneo hilo ukaendelea.
Hatimaye mwili ukaopolewa toka katika kifusi.
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Azikwa akiwa hai India
11 years ago
Habarileo23 Jul
Magufuli: Mshukuruni Kikwete akiwa hai
WAZIRI wa Ujenzi, John Magufuli amesema, Watanzania wanapaswa kumshukuru Rais Jakaya Kikwete wakati akiwa hai kutokana na mema mengi aliyowatendea badala ya kusubiri kusema pengo lake halitazibika.
10 years ago
Vijimambo27 Feb
MKE WA DAVID HAINES ATAKA JIHAD JOHN AKAMATWE AKIWA HAI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/11/141211065154_isis-beheading_512x288_reuters.jpg)
Dragana Haines mke wa David Haines,mamlaka zinapaswa kumsaka na kumkamata akiwa hai mtu aliyemuua mume wake kwa kumchinja baada ya kutekwa na kundi la wapiganaji wa dola ya kiislam Islamic State wakati akifanya kazi na shirika la misaada la Uingereza.Mtu aliyemchinja David Haines na wengine tayari amefahamika kuwa ni Mohamed Emwazi.
Bi.Dragana amesema tangu alipojua kuwa mmewe David amechinjwa alijipa matumaini moyoni mwake kuwa ipo siku muuaji huyo atafahamika...