MKE WA DAVID HAINES ATAKA JIHAD JOHN AKAMATWE AKIWA HAI
Mauaji ya kundi la Islamic State
Dragana Haines mke wa David Haines,mamlaka zinapaswa kumsaka na kumkamata akiwa hai mtu aliyemuua mume wake kwa kumchinja baada ya kutekwa na kundi la wapiganaji wa dola ya kiislam Islamic State wakati akifanya kazi na shirika la misaada la Uingereza.Mtu aliyemchinja David Haines na wengine tayari amefahamika kuwa ni Mohamed Emwazi.
Bi.Dragana amesema tangu alipojua kuwa mmewe David amechinjwa alijipa matumaini moyoni mwake kuwa ipo siku muuaji huyo atafahamika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Mar
Jihad John hakuwa hivi kabla
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ARLRee19CK4wW9p9cAw4goKCUiq*lB0s4wV74i4RyIueJCMIFGaUEfq5XZBTXLe1GXa*8WlGo4D3bXJEKa1KLOtP*J1P10va/masogange.jpg?width=650)
WAZIRI ATAKA MASOGANGE AKAMATWE
10 years ago
BBCSwahili11 Apr
Jaji ataka Justin Bieber akamatwe
10 years ago
Mtanzania05 Dec
Bilionea IPTL ataka bosi wa TRA akamatwe
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
KAMPUNI ya Pan Africa Power Solutions (PAP) na ile ya Independent Power Tanzania (IPTL), imeitaka Bodi ya Rufaa ya Kodi nchini iamuru Kamishna Mkuu wa TRA, akamatwe na kupelekwa gerezani kwa kufuta hati za kuthibitisha ulipaji wa kodi wa kampuni hiyo katika manunuzi ya hisa za IPTL.
Hatua ya TRA kufuta hati hizo, ilitokana na udanganyifu uliofanywa na PAP kwa kuwasilisha nyaraka za kughushi za ununizi wa hisa, hali iliyoiwezesha kukwepa kodi ya Sh bilioni...
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Dramatic moment passenger who yelled 'Jihad! Jihad!' was pinned by terrified fellow fliers on board Washington United flight
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Azikwa akiwa hai India
10 years ago
BBCSwahili30 Apr
Kijana aokolewa akiwa hai Nepal
11 years ago
Habarileo23 Jul
Magufuli: Mshukuruni Kikwete akiwa hai
WAZIRI wa Ujenzi, John Magufuli amesema, Watanzania wanapaswa kumshukuru Rais Jakaya Kikwete wakati akiwa hai kutokana na mema mengi aliyowatendea badala ya kusubiri kusema pengo lake halitazibika.
10 years ago
Bongo501 Dec
David Beckham apata ajali akiwa na mwanae