Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKE WA DAVID HAINES ATAKA JIHAD JOHN AKAMATWE AKIWA HAI

Mauaji ya kundi la Islamic State
Dragana Haines mke wa David Haines,mamlaka zinapaswa kumsaka na kumkamata akiwa hai mtu aliyemuua mume wake kwa kumchinja baada ya kutekwa na kundi la wapiganaji wa dola ya kiislam Islamic State wakati akifanya kazi na shirika la misaada la Uingereza.Mtu aliyemchinja David Haines na wengine tayari amefahamika kuwa ni Mohamed Emwazi.

Bi.Dragana amesema tangu alipojua kuwa mmewe David amechinjwa alijipa matumaini moyoni mwake kuwa ipo siku muuaji huyo atafahamika...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jihad John hakuwa hivi kabla

Pamoja na Jihadi John kulaumiwa na dunia kwa matendo yake, bosi wake wa zamani amsifu,inagawa hakujua alicho nacho ndaniye.

 

11 years ago

GPL

WAZIRI ATAKA MASOGANGE AKAMATWE

WAZIRI Kivuli wa Mambo ya Ndani, Vincent Nyerere ameibuka na kutoa kauli ya kutaka Video Queen Agnes Gerald ‘Masogange’ akamatwe na kuswekwa ndani akidai kitendo cha kuachiwa huru Afrika Kusini kwa kesi ya madawa ya kulevya si sahihi kwa Bongo. Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Vincent Nyerere. Akizungumza na Kipindi cha Dakika 45 kilichorushwa hewani Jumatatu usiku na Runinga ya ITV, Nyerere alisema baada ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Jaji ataka Justin Bieber akamatwe

Jaji mmoja nchini Argentina ametoa agizo la kukamatwa kwa mwanamuziki Justin Bieber

 

10 years ago

Mtanzania

Bilionea IPTL ataka bosi wa TRA akamatwe

SeithNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

KAMPUNI ya Pan Africa Power Solutions (PAP) na ile ya Independent Power Tanzania (IPTL), imeitaka Bodi ya Rufaa ya Kodi nchini iamuru Kamishna Mkuu wa TRA, akamatwe na kupelekwa gerezani kwa kufuta hati za kuthibitisha ulipaji wa kodi wa kampuni hiyo katika manunuzi ya hisa za IPTL.

Hatua ya TRA kufuta hati hizo, ilitokana na udanganyifu uliofanywa na PAP kwa kuwasilisha nyaraka za kughushi za ununizi wa hisa, hali iliyoiwezesha kukwepa kodi ya Sh bilioni...

 

10 years ago

Vijimambo

Dramatic moment passenger who yelled 'Jihad! Jihad!' was pinned by terrified fellow fliers on board Washington United flight

Man on United Airlines Flight 1074 said to have shouted terrorist slogansPassengers pinned him to the ground while plane returned to DullesVideo emerged of him looking bloodied on floor of the Boeing 737He is heard frantically apologising as police officers try to keep him calm33 passengers and six crew were on the plane at the time of the incidentBy JOHN HALL FOR MAILONLINEPUBLISHED: 04:00 EST, 17 March 2015 | UPDATED: 07:25 EST, 17 March 2015          961shares455View commentsThis is the...

 

9 years ago

BBCSwahili

Azikwa akiwa hai India

Mtu mmoja nchini India amefariki baada ya wafanyikazi wa ujenzi ambao hawakumuona katika shimo kumzika akiwa hai.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana aokolewa akiwa hai Nepal

Kijana mwenye umri wa miaka 15 ameokolewa akiwa hai baada ya kufunikwa na kifusi cha Jengo

 

11 years ago

Habarileo

Magufuli: Mshukuruni Kikwete akiwa hai

Waziri wa Ujenzi, John MagufuliWAZIRI wa Ujenzi, John Magufuli amesema, Watanzania wanapaswa kumshukuru Rais Jakaya Kikwete wakati akiwa hai kutokana na mema mengi aliyowatendea badala ya kusubiri kusema pengo lake halitazibika.

 

10 years ago

Bongo5

David Beckham apata ajali akiwa na mwanae

Mchezaji mstaafu wa soka wa Uingereza, David Beckham, na mwanae, Brooklyn walihusika kwenye ajali nje ya uwanja wa mafunzo wa Arsenal, ulioko Hertfordshire, Kaskazini mwa mji wa London. Hata hivyo, hawakupata majeraha bali mshtuko wa kawaida kutokana na ajali hiyo ambayo waligongana na gari nyingine. Habari hizo zilipatikana kutoka kwenye chanzo cha karibu kabisa na […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani