Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


David Beckham apata ajali akiwa na mwanae

Mchezaji mstaafu wa soka wa Uingereza, David Beckham, na mwanae, Brooklyn walihusika kwenye ajali nje ya uwanja wa mafunzo wa Arsenal, ulioko Hertfordshire, Kaskazini mwa mji wa London. Hata hivyo, hawakupata majeraha bali mshtuko wa kawaida kutokana na ajali hiyo ambayo waligongana na gari nyingine. Habari hizo zilipatikana kutoka kwenye chanzo cha karibu kabisa na […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RAGE APATA AJALI AKIWA NJIANI KUELEKEA DODOMA


Mbunge wa Tabora Mjini (CCM) Ismail Aden Rage, ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, akiwa amelazwa kwenye hospitali ya Rufaa, Dodoma, Jumatatu Agosti 4, 2014. Rage alipata ajali eneo la Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akielekea mjini humo tayari kushiriki vikao vya Bunge Maalum vinavyoanza Jumanne Agosti 5, 2014Mbunge wa Sikonge mkoani Tabora kupitia CCM, ambaye pia ni Mujumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Said Nkumba, akimjulia hali Rage, hospitalini mjini...

 

10 years ago

Bongo5

Baba Levo apata ajali akiwa ndani ya basi la AM lililogongana na Coaster

Msanii wa kundi la 2mbili wa Town, Baba Levo amepata ajali baada ya basi la kampuni ya AM Coach alilokuwa amepanda kugongana na Coaster. Kwa mujibu wa Millardayo.com, ajali hiyo imetokea kwenye pori la kijiji cha Uluwila ambapo alikuwa anatokea Tabora kwenda Mpanda. Inadaiwa kuwa dereva wa Coaster alikuwa akikwepa barabara mbovu na hivyo kuhamia […]

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto wa David Beckham asaini kucheza Arsenal

Ni ajabu, kwamba safari hii maji hayajafuata mkondo! Mtoto wa nyota wa zamani wa Manchester United na England, David Beckham, Brooklyn amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Arsenal.

 

9 years ago

Bongo5

David Beckham amepewa Tuzo ya Legend of Football Award

Mchezajia mkongwe wa soka duniani David Beckham ambaye pia aliwahi kuwa nahodha wa England amedhihirisha kuwa alitumia vyema nafasi yake akiwa uwanjani na kujenga jina na heshima kwenye soka ambayo itamfanya akumbukwe duniani. Beckham ambaye alizichezea klabu za Manchester United na Real Madrid,Ac Millan,PSG ametunikiwa Tuzo ya heshima hii ni ishara ya kuutambua mchango wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Ripoti: Ndoa ya David na Victoria Beckham ipo kwenye mawe

David na Victoria Beckham huenda wakawa wanakaribia kupeana talaka baada ya tetesi za muda mrefu kuwa ndoa yao ipo kwenye mawe kuongezeka zaidi. Wawili hao hivi karibuni walionekana wakibishana kwa sauti za juu kwenye tukio moja kwa mujibu wa jarida la OK! Ripoti hiyo inadai kuwa wakati wawili hao wanatoka kwenye uzinduzi wa moja ya […]

 

10 years ago

CloudsFM

ELTON JOHN AFUNGA NDOA RASMI, DAVID BECKHAM AHUDHULIA

GWIJI wa muziki wa Rock Uingereza, Sir Elton John amefunga ndoa na mpenzi wake David Furnish ikiwa ni miaka tisa tangu Desemba 21, 2005 walipoingia katika uhusiano huo wa watu wenye jinsia moja.Walifunga ndoa mbele ya wanafamilia, marafiki na wageni wachache walioalikwa huko Windsor nchini England.Waalikwa wengi wao walikuwa watu maarufu wakiwemo: Familia ya David na Victoria Beckham, David Walliams na mkewe Lara Stone, Liz Hurley na mwanaye Damian, waliowasili kwa usafiri wa gari katika...

 

9 years ago

Bongo5

Ushauri wa David Beckham kama Cristiano Ronaldo ataondoka Real Madrid

david_beckham-759

David Beckham mchezaji wa zamani wa soka wa Man United, Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza, Beckham ni mchezaji ambaye alivyo ondoka Man United jezi yake namba saba ilirithiwa na Cristiano Ronaldo.

david_beckham-759

Beckham alipo kuwa kwenye interview alifunguka kuwa kama Cristiano Ronaldo atahama Real Madrid ni vizuri akirudi Man United,

“Sikuwahi kumshauri yoyote kurudi Man United, Cristiano amekuwa kama shabiki wa Man United kwani anaipenda na amefanya vizuri akiwa Old Trafford na kucheza kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Ushauri wa David Beckham kwa mchezaji Memphis Depay kuhusu Jezi namba 7

ad_178359848-e1446801336562

Jezi namba 7 ni miongoni mwa jezi zenye heshima kubwa katika klabu ya Manchester United na moja kati ya watu walioipatia heshima jezi hiyo ni David Beckham na Cristiano Ronaldo.

ad_178359848-e1446801336562

Memphis Depay aliyesajiliwa msimu huu na klabu ya Manchester United akitokea PSV Endhoven ya Uholanzi kwa dau la pound milioni 25 ambaye ndo anavaa jezi hiyo kwa sasa.

Depay ambaye kwa wiki za karibuni amekuwa akikaa benchi na mchezaji Jesse Lingard kuchukua nafasi yake, inatajwa kuwa na presha kubwa kutokana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani