David Beckham apata ajali akiwa na mwanae
Mchezaji mstaafu wa soka wa Uingereza, David Beckham, na mwanae, Brooklyn walihusika kwenye ajali nje ya uwanja wa mafunzo wa Arsenal, ulioko Hertfordshire, Kaskazini mwa mji wa London. Hata hivyo, hawakupata majeraha bali mshtuko wa kawaida kutokana na ajali hiyo ambayo waligongana na gari nyingine. Habari hizo zilipatikana kutoka kwenye chanzo cha karibu kabisa na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cB9hPD0i_zk/U9-iyIiTjOI/AAAAAAAAJdg/SoihWY6l6zc/s72-c/RAGE++ajali1.jpg)
RAGE APATA AJALI AKIWA NJIANI KUELEKEA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-cB9hPD0i_zk/U9-iyIiTjOI/AAAAAAAAJdg/SoihWY6l6zc/s1600/RAGE++ajali1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zA7N8UKIZYw/U9-izhBETeI/AAAAAAAAJdo/7XnsLhIwOO8/s640/MBUNGE+RAGE+AKIWA+WODINI.jpg)
10 years ago
Bongo510 Oct
Baba Levo apata ajali akiwa ndani ya basi la AM lililogongana na Coaster
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Mtoto wa David Beckham asaini kucheza Arsenal
9 years ago
Bongo503 Sep
David Beckham amepewa Tuzo ya Legend of Football Award
9 years ago
Bongo528 Sep
Ripoti: Ndoa ya David na Victoria Beckham ipo kwenye mawe
10 years ago
CloudsFM23 Dec
ELTON JOHN AFUNGA NDOA RASMI, DAVID BECKHAM AHUDHULIA
GWIJI wa muziki wa Rock Uingereza, Sir Elton John amefunga ndoa na mpenzi wake David Furnish ikiwa ni miaka tisa tangu Desemba 21, 2005 walipoingia katika uhusiano huo wa watu wenye jinsia moja.
Walifunga ndoa mbele ya wanafamilia, marafiki na wageni wachache walioalikwa huko Windsor nchini England.
Waalikwa wengi wao walikuwa watu maarufu wakiwemo: Familia ya David na Victoria Beckham, David Walliams na mkewe Lara Stone, Liz Hurley na mwanaye Damian, waliowasili kwa usafiri wa gari katika...
9 years ago
Bongo514 Nov
Ushauri wa David Beckham kama Cristiano Ronaldo ataondoka Real Madrid
![david_beckham-759](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/david_beckham-759-300x194.jpg)
David Beckham mchezaji wa zamani wa soka wa Man United, Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza, Beckham ni mchezaji ambaye alivyo ondoka Man United jezi yake namba saba ilirithiwa na Cristiano Ronaldo.
Beckham alipo kuwa kwenye interview alifunguka kuwa kama Cristiano Ronaldo atahama Real Madrid ni vizuri akirudi Man United,
“Sikuwahi kumshauri yoyote kurudi Man United, Cristiano amekuwa kama shabiki wa Man United kwani anaipenda na amefanya vizuri akiwa Old Trafford na kucheza kwa...
9 years ago
Bongo520 Nov
Ushauri wa David Beckham kwa mchezaji Memphis Depay kuhusu Jezi namba 7
![ad_178359848-e1446801336562](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ad_178359848-e1446801336562-300x194.jpg)
Jezi namba 7 ni miongoni mwa jezi zenye heshima kubwa katika klabu ya Manchester United na moja kati ya watu walioipatia heshima jezi hiyo ni David Beckham na Cristiano Ronaldo.
Memphis Depay aliyesajiliwa msimu huu na klabu ya Manchester United akitokea PSV Endhoven ya Uholanzi kwa dau la pound milioni 25 ambaye ndo anavaa jezi hiyo kwa sasa.
Depay ambaye kwa wiki za karibuni amekuwa akikaa benchi na mchezaji Jesse Lingard kuchukua nafasi yake, inatajwa kuwa na presha kubwa kutokana na...