Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushauri wa David Beckham kwa mchezaji Memphis Depay kuhusu Jezi namba 7

ad_178359848-e1446801336562

Jezi namba 7 ni miongoni mwa jezi zenye heshima kubwa katika klabu ya Manchester United na moja kati ya watu walioipatia heshima jezi hiyo ni David Beckham na Cristiano Ronaldo.

ad_178359848-e1446801336562

Memphis Depay aliyesajiliwa msimu huu na klabu ya Manchester United akitokea PSV Endhoven ya Uholanzi kwa dau la pound milioni 25 ambaye ndo anavaa jezi hiyo kwa sasa.

Depay ambaye kwa wiki za karibuni amekuwa akikaa benchi na mchezaji Jesse Lingard kuchukua nafasi yake, inatajwa kuwa na presha kubwa kutokana na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Beckham amtaka Depay asiogope jezi namba 7

960MANCHESTER, ENGLAND

NYOTA wa zamani wa klabu ya Manchester United, David Beckham, amemtaka mshambuliaji mpya wa klabu hiyo, Memphis Depay, kuivaa jezi namba saba bila wasiwasi.

Beckham amemwambia kwamba hiyo ni jezi kama zilivyo jezi nyingine, lakini anatakiwa kuitendea haki kama ilivyo kwa wachezaji wengi waliopita ambao walivaa namba hiyo kama vile Beckham, George Best, Eric Cantona, Cristiano Ronaldo, Di Maria na wengine.

Beckham aliwahi kuivaa namba hiyo wakati anaitumikia klabu hiyo...

 

11 years ago

Dewji Blog

David Beckham aonyesha wazi ushabiki wake kwa Argentina baada ya kuwavisha watoto wake jezi za timu hiyo

article-2690667-1F9E2D9C00000578-470_964x755

Family outing: David Beckham and his three sons Brooklyn, Cruz and Romeo were all in attendance – with the boys all wearing Argentina kits.

article-2690667-1F9D901500000578-575_964x642

Family ties: Beckham’s youngest son Cruz was also showing his support for Argentina in the team’s dark blue away kit.

article-2690667-1F9D9B6700000578-945_964x663

Switched allegiances: David Beckham was in the crowd for the final with his young sons, including Romeo, 11, who was wearing an Argentina shirt.

article-2690667-1F9D90A100000578-712_964x635

Stars of the game: Former Brazilian internationals Kaka and Pele with Beckham before the...

 

9 years ago

Bongo5

Ushauri wa David Beckham kama Cristiano Ronaldo ataondoka Real Madrid

david_beckham-759

David Beckham mchezaji wa zamani wa soka wa Man United, Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza, Beckham ni mchezaji ambaye alivyo ondoka Man United jezi yake namba saba ilirithiwa na Cristiano Ronaldo.

david_beckham-759

Beckham alipo kuwa kwenye interview alifunguka kuwa kama Cristiano Ronaldo atahama Real Madrid ni vizuri akirudi Man United,

“Sikuwahi kumshauri yoyote kurudi Man United, Cristiano amekuwa kama shabiki wa Man United kwani anaipenda na amefanya vizuri akiwa Old Trafford na kucheza kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United yamsajili Memphis Depay

Manchester United imefikia makubaliano kumsajili mshambuliaji Memphis Depay toka PSV Eindhoven ya Uholanzi.

 

10 years ago

Africanjam.Com

MEMPHIS DEPAY ATUA RASMI MANCHESTER UNITED

Klabu ya Manchester United imetangaza  rasmi kukamilisha usajili wa nyota wa kimataifa wa Uholanzi,  Memphis Depay na kumsainisha mkataba wa miaka minne.Mpango wa kumsajili kinda huyu mwenye miaka 21 ulikamilika mwezi uliopita, lakini sasa dili limekamilika rasmi ambapo United imelipa ada ya uhamisho ya  paundi milioni 25.Kiungo huyo anajiunga na Manchester United kutokea klabu ya PSV Einhoven ambapo alionesha kiwango cha juu kwenye ligi ya Uholanzi akifunga magoli 22 msimu uliopita.Kijana...

 

10 years ago

Africanjam.Com

PHOTOS: MEMPHIS DEPAY TRAINS WITH MANCHESTER UNITED FOR THE FIRST TIME ..


Memphis Depay joined his Manchester United team-mates for the first time since his £25million move from PSV.The 21-year-old was the only new face present at Carrington on Monday as Louis van Gaal's squad returned to training ahead of their pre-season tour to America.Depay was pictured wearing the No 26 shirt and should he take that number then United fans will be hoping he does better than his predecessors.

The shirt was previously worn by Shinji Kagawa, who returned to Dortmund last season...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Memphis Depay aonekana tena na Ex wa Chris Brown, Karrueche Tran

Mchezaji wa Manchester United, Memphis Depay ameonekana kwa mara nyingine akila bata na aliyekuwa mpenzi wa staa wa R&B Chris Brown, Karrueche Tran jijini Manchester. Tetesi za wawili hao kuwa pamoja zilianza baada ya kuanza kuonekana pamoja miezi michache iliyopita nchini Marekani. Wawili hao walionekana tena usiku wa Jumapili wakiwa pamoja wakitoka kwenye club moja […]

 

10 years ago

Bongo5

David Beckham apata ajali akiwa na mwanae

Mchezaji mstaafu wa soka wa Uingereza, David Beckham, na mwanae, Brooklyn walihusika kwenye ajali nje ya uwanja wa mafunzo wa Arsenal, ulioko Hertfordshire, Kaskazini mwa mji wa London. Hata hivyo, hawakupata majeraha bali mshtuko wa kawaida kutokana na ajali hiyo ambayo waligongana na gari nyingine. Habari hizo zilipatikana kutoka kwenye chanzo cha karibu kabisa na […]

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto wa David Beckham asaini kucheza Arsenal

Ni ajabu, kwamba safari hii maji hayajafuata mkondo! Mtoto wa nyota wa zamani wa Manchester United na England, David Beckham, Brooklyn amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Arsenal.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani