Ushauri wa David Beckham kwa mchezaji Memphis Depay kuhusu Jezi namba 7
Jezi namba 7 ni miongoni mwa jezi zenye heshima kubwa katika klabu ya Manchester United na moja kati ya watu walioipatia heshima jezi hiyo ni David Beckham na Cristiano Ronaldo.
Memphis Depay aliyesajiliwa msimu huu na klabu ya Manchester United akitokea PSV Endhoven ya Uholanzi kwa dau la pound milioni 25 ambaye ndo anavaa jezi hiyo kwa sasa.
Depay ambaye kwa wiki za karibuni amekuwa akikaa benchi na mchezaji Jesse Lingard kuchukua nafasi yake, inatajwa kuwa na presha kubwa kutokana na...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Beckham amtaka Depay asiogope jezi namba 7
MANCHESTER, ENGLAND
NYOTA wa zamani wa klabu ya Manchester United, David Beckham, amemtaka mshambuliaji mpya wa klabu hiyo, Memphis Depay, kuivaa jezi namba saba bila wasiwasi.
Beckham amemwambia kwamba hiyo ni jezi kama zilivyo jezi nyingine, lakini anatakiwa kuitendea haki kama ilivyo kwa wachezaji wengi waliopita ambao walivaa namba hiyo kama vile Beckham, George Best, Eric Cantona, Cristiano Ronaldo, Di Maria na wengine.
Beckham aliwahi kuivaa namba hiyo wakati anaitumikia klabu hiyo...
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
David Beckham aonyesha wazi ushabiki wake kwa Argentina baada ya kuwavisha watoto wake jezi za timu hiyo
Family outing: David Beckham and his three sons Brooklyn, Cruz and Romeo were all in attendance – with the boys all wearing Argentina kits.
Family ties: Beckham’s youngest son Cruz was also showing his support for Argentina in the team’s dark blue away kit.
Switched allegiances: David Beckham was in the crowd for the final with his young sons, including Romeo, 11, who was wearing an Argentina shirt.
Stars of the game: Former Brazilian internationals Kaka and Pele with Beckham before the...
9 years ago
Bongo514 Nov
Ushauri wa David Beckham kama Cristiano Ronaldo ataondoka Real Madrid
![david_beckham-759](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/david_beckham-759-300x194.jpg)
David Beckham mchezaji wa zamani wa soka wa Man United, Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza, Beckham ni mchezaji ambaye alivyo ondoka Man United jezi yake namba saba ilirithiwa na Cristiano Ronaldo.
Beckham alipo kuwa kwenye interview alifunguka kuwa kama Cristiano Ronaldo atahama Real Madrid ni vizuri akirudi Man United,
“Sikuwahi kumshauri yoyote kurudi Man United, Cristiano amekuwa kama shabiki wa Man United kwani anaipenda na amefanya vizuri akiwa Old Trafford na kucheza kwa...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Man United yamsajili Memphis Depay
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-rKqeNTqr8Lo/VXr4YJUj3HI/AAAAAAAACB8/QVjKYMi4Qs0/s72-c/CHTvNPFWsAAqhj0.jpg)
MEMPHIS DEPAY ATUA RASMI MANCHESTER UNITED
![](http://2.bp.blogspot.com/-rKqeNTqr8Lo/VXr4YJUj3HI/AAAAAAAACB8/QVjKYMi4Qs0/s400/CHTvNPFWsAAqhj0.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-cPJaSMYK1iY/VZwAqGRMj8I/AAAAAAAACgI/Rc_3PtJOmaU/s72-c/memphis-depay-and-adnan-januzaj-july-2015.jpg)
PHOTOS: MEMPHIS DEPAY TRAINS WITH MANCHESTER UNITED FOR THE FIRST TIME ..
![](http://2.bp.blogspot.com/-cPJaSMYK1iY/VZwAqGRMj8I/AAAAAAAACgI/Rc_3PtJOmaU/s400/memphis-depay-and-adnan-januzaj-july-2015.jpg)
Memphis Depay joined his Manchester United team-mates for the first time since his £25million move from PSV.The 21-year-old was the only new face present at Carrington on Monday as Louis van Gaal's squad returned to training ahead of their pre-season tour to America.Depay was pictured wearing the No 26 shirt and should he take that number then United fans will be hoping he does better than his predecessors.
![](http://3.bp.blogspot.com/-dWzeWD-dNI8/VZwAoWmKkkI/AAAAAAAACgA/31ZjuBjjXSA/s400/2A485A2A00000578-3151472-Memphis_Depay_second_right_Wayne_Rooney_left_Phil_Jones_right_an-a-3_1436215377816.jpg)
The shirt was previously worn by Shinji Kagawa, who returned to Dortmund last season...
9 years ago
Bongo529 Sep
Picha: Memphis Depay aonekana tena na Ex wa Chris Brown, Karrueche Tran
10 years ago
Bongo501 Dec
David Beckham apata ajali akiwa na mwanae
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Mtoto wa David Beckham asaini kucheza Arsenal