Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushauri wa David Beckham kama Cristiano Ronaldo ataondoka Real Madrid

david_beckham-759

David Beckham mchezaji wa zamani wa soka wa Man United, Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza, Beckham ni mchezaji ambaye alivyo ondoka Man United jezi yake namba saba ilirithiwa na Cristiano Ronaldo.

david_beckham-759

Beckham alipo kuwa kwenye interview alifunguka kuwa kama Cristiano Ronaldo atahama Real Madrid ni vizuri akirudi Man United,

“Sikuwahi kumshauri yoyote kurudi Man United, Cristiano amekuwa kama shabiki wa Man United kwani anaipenda na amefanya vizuri akiwa Old Trafford na kucheza kwa...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Managing Madrid

On This Day Two Years Ago: Cristiano Ronaldo Scores His Last Hat-trick With Real Madrid

On This Day Two Years Ago: Cristiano Ronaldo Scores His Last Hat-trick With Real Madrid  Managing MadridCristiano Ronaldo sunbathes shirtless while in quarantine  The NationFirst Images Of Cristiano Ronaldo In Quarantine Surfaces  Soccer LadumaView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Bongo5

David Beckham aonesha furaha yeke ya Zidane kuteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, huu ndo ujumbe alio andika

1704013-36078683-2560-1440

Baada ya klabu ya Real Madrid kutangaza rasmi kumfuta kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Rafael Benitez. Real Madrid walitangaza kumfuta kazi Benitez na Zidane kutajwa kurithi nafasi hiyo kwa muda hadi mwisho wa msimu.

1704013-36078683-2560-1440

Mchezaji mwenzake wa zamani David Beckham hakuweza kuficha kuonesha furaha yake kwa kupost picha yao ya zamani na ujumbe wenye kuoneshwa kufurahishwa na nguli huyo wa kifaransa kuchukua mikoba hiyoo.

“Unaweza kumpata mtu bora zaidi yake? mtu ambaye alikuwa bora kiwanjani na...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika …

Baada ya kuwepo na tetesi za muda mrefu kuhusu uongozi wa klabu ya Real Madrid kutoridhishwa na mwenendo wa timu yao January 4, umetangaza rasmi kumfuta kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Rafael Benitez. Real Madrid walitangaza kumfuta kazi Benitez na Zidane kutajwa kurithi nafasi hiyo kwa muda hadi mwisho wa msimu. Kufuatia kuteuliwa kwa Zidane […]

The post Baada ya David Beckham kusikia kuwa Zidane ameteuliwa kuwa kocha wa Real Madrid, haya ndio aliyoandika … appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Ushauri wa David Beckham kwa mchezaji Memphis Depay kuhusu Jezi namba 7

ad_178359848-e1446801336562

Jezi namba 7 ni miongoni mwa jezi zenye heshima kubwa katika klabu ya Manchester United na moja kati ya watu walioipatia heshima jezi hiyo ni David Beckham na Cristiano Ronaldo.

ad_178359848-e1446801336562

Memphis Depay aliyesajiliwa msimu huu na klabu ya Manchester United akitokea PSV Endhoven ya Uholanzi kwa dau la pound milioni 25 ambaye ndo anavaa jezi hiyo kwa sasa.

Depay ambaye kwa wiki za karibuni amekuwa akikaa benchi na mchezaji Jesse Lingard kuchukua nafasi yake, inatajwa kuwa na presha kubwa kutokana na...

 

10 years ago

Africanjam.Com

THIS IS WHAT ATLETICO MADRID SAYS ABOUT DAVID DE GEA JOINING REAL MADRID


De Gea joined United from Atletico, where he started his career, for £18.9million in 2011. A year earlier he was a crucial figure as Atleti won the Europa League.Tomas Ujfalusi was part of De Gea's defence that season and popular with the club's fans after spending three years in the Spanish capital; De Gea was equally liked, but Ujfalusi believes he will throw that away if he signs for Real because Atletico's fans would feel betrayed.
De Gea (left) was a team-mate of Tomas Ujfalusi (back...

 

9 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo aifikia rekodi ya Raul, Real ikishinda 2-0

Mwanasoka Cristiano Ronaldo amefikia rekodi ya mabao ya Raul katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kuifungia mabao yote, Real Madrid ikishinda 2-0 ugenini dhidi ya Malmo FF dakika ya 29 na 90 Uwanja wa Swedbank mchezo wa Kundi A. Ronaldo anakuwa amefikisha mabao 82 katika mechi za Ligi ya Mabingwa na mabao 501 jumla […]

 

5 years ago

Mirror Online

Lionel Messi overtakes Cristiano Ronaldo to set new record with goal vs Real Sociedad

Lionel Messi overtakes Cristiano Ronaldo to set new record with goal vs Real Sociedad  Mirror OnlineBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him  Goal.comLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad  GIVEMESPORTReal Madrid will be without two stars at Real Betis  The Real Champs'When the club is weak, these things come up' - Pique defends Sarabia after Barca win  Goal.comView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hii ndiyo hatma ya Benitez Real Madrid, Ancelotti anena kuhusu kurudi Madrid na Menzes kuhusu uhamisho wa Ronaldo

rafa-benitez-579850

Kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Hatimaye hatma ya kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez imefahamika baada ya kuwepo sintofahamu kama anabaki katika klabu hiyo au anaondoka kufuatia kipigo cha mbwa mwizi cha goli 4 bila kutoka kwa wapinzani wao wakubwa Barcelona.

Usiku wa jumatatu, Rais wa Real Madrid, Florentino Perez amesema kuwa kubarua cha kocha Benitez kipo salama na ataendelea na kazi yake kama kawaida licha ya uvumi kuwa anafukuzwa kazi kutokana na kipigo...

 

9 years ago

Bongo5

David Beckham akanusha uvumi kuwa ana mpango wa kuigiza kama James Bond

Mwakilishi wa mchezaji mstaafu wa soka wa Uingereza, David Beckham ameiambia Daily Mail kuwa staa huyo hana mpango wowote wa kuigiza kama James Bond. Winga huyo wa zamani wa Manchester United amekanusha ripoti zilizosambaa kuwa ana mpango wa kugombea nafasi ya kuigiza kama James Bond mwakani, licha ya kuwa mashabiki wamejaribu pia kumuomba afanye hivyo. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani