Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cristiano Ronaldo aifikia rekodi ya Raul, Real ikishinda 2-0

Mwanasoka Cristiano Ronaldo amefikia rekodi ya mabao ya Raul katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kuifungia mabao yote, Real Madrid ikishinda 2-0 ugenini dhidi ya Malmo FF dakika ya 29 na 90 Uwanja wa Swedbank mchezo wa Kundi A. Ronaldo anakuwa amefikisha mabao 82 katika mechi za Ligi ya Mabingwa na mabao 501 jumla […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kasi ya Ronaldo yakaribia kuvunja rekodi ya Raul

Uswisi. Tofauti na mechi za Jumanne zilizokuwa na mabao mengi kupindukia, usiku wa Jumatano ulishuhudia matokeo ya kustaajabisha.

 

9 years ago

Bongo5

Anthony Martial avunja rekodi ya Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford

Mchezaji mpya wa Manchester United, Anthony Martial baada ya jana usiku kufunga goli dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi katika michuano ya klabu bingwa Ulaya, ameweka rekodi ambayo ilimshinda Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford. Akiwa na miaka 19 Martial ameshafunga magoli 5 katika mechi 9, huku katika umri huo huo Cristiano Ronaldo ilimchukua mechi 39 […]

 

9 years ago

MillardAyo

Hizi ndio rekodi 7 za Cristiano Ronaldo alizoweka mwaka 2015 pekee …

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo amefanikiwa kuweka rekodi kadhaa kubwa katika soka, ukiachana na kutwaa tuzo ya tatu ya mchezaji bora wa Dunia  Ballon d’Or kwa mwaka 2015, Ronaldo amefanikiwa kuweka rekodi 7 mpya. 7- Ronaldo amefanikiwa kufunga jumla ya hat-trick 28 katika kipindi cha mwaka […]

The post Hizi ndio rekodi 7 za Cristiano Ronaldo alizoweka mwaka 2015 pekee … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Ushauri wa David Beckham kama Cristiano Ronaldo ataondoka Real Madrid

david_beckham-759

David Beckham mchezaji wa zamani wa soka wa Man United, Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza, Beckham ni mchezaji ambaye alivyo ondoka Man United jezi yake namba saba ilirithiwa na Cristiano Ronaldo.

david_beckham-759

Beckham alipo kuwa kwenye interview alifunguka kuwa kama Cristiano Ronaldo atahama Real Madrid ni vizuri akirudi Man United,

“Sikuwahi kumshauri yoyote kurudi Man United, Cristiano amekuwa kama shabiki wa Man United kwani anaipenda na amefanya vizuri akiwa Old Trafford na kucheza kwa...

 

5 years ago

Managing Madrid

On This Day Two Years Ago: Cristiano Ronaldo Scores His Last Hat-trick With Real Madrid

On This Day Two Years Ago: Cristiano Ronaldo Scores His Last Hat-trick With Real Madrid  Managing MadridCristiano Ronaldo sunbathes shirtless while in quarantine  The NationFirst Images Of Cristiano Ronaldo In Quarantine Surfaces  Soccer LadumaView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Mirror Online

Lionel Messi overtakes Cristiano Ronaldo to set new record with goal vs Real Sociedad

Lionel Messi overtakes Cristiano Ronaldo to set new record with goal vs Real Sociedad  Mirror OnlineBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him  Goal.comLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad  GIVEMESPORTReal Madrid will be without two stars at Real Betis  The Real Champs'When the club is weak, these things come up' - Pique defends Sarabia after Barca win  Goal.comView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Mtanzania

Ronaldo aweka rekodi mpya Real Madrid

ronaldo_2477234bMADRID, HISPANIA

STAA wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, ni rasmi sasa amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo akifunga mabao 324 kwenye mechi 310.

Rekodi hiyo ameiweka juzi alipofunga bao moja wakati wakiilaza Levante mabao 3-0, mengine yakifungwa na Jesena Marcelo.

Tayari Real Madrid ilikuwa ikimtambua Ronaldo kuweka rekodi hiyo kabla ya mchezo huo, wakihesabia bao la faulo alilofunga dhidi ya Malmo mwaka 2010 lililombabatiza Pepe na kujaa wavuni, limeshampa tuzo ya kiatu...

 

9 years ago

Mwananchi

Neymar apiga nne, Ronaldo ampiku Raul

Real Madrid na Barcelona zimeng’ang’ania kileleni mwa La Liga wakati Cristiano Ronaldo akiweka rekodi Real ikishinda 3-0 dhidi ya Levante, huku Neymar akifunga bao manne wakati Barca ikichapa Rayo Vallecano 5-2.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani