Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Anthony Martial avunja rekodi ya Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford

Mchezaji mpya wa Manchester United, Anthony Martial baada ya jana usiku kufunga goli dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi katika michuano ya klabu bingwa Ulaya, ameweka rekodi ambayo ilimshinda Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford. Akiwa na miaka 19 Martial ameshafunga magoli 5 katika mechi 9, huku katika umri huo huo Cristiano Ronaldo ilimchukua mechi 39 […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ronaldo avunja rekodi ya Messi

Christiano Ronaldo amevunja rekodi ya ufungaji mabao mengi katika ligi ya mabingwa barani Uropa

 

9 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo aifikia rekodi ya Raul, Real ikishinda 2-0

Mwanasoka Cristiano Ronaldo amefikia rekodi ya mabao ya Raul katika Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kuifungia mabao yote, Real Madrid ikishinda 2-0 ugenini dhidi ya Malmo FF dakika ya 29 na 90 Uwanja wa Swedbank mchezo wa Kundi A. Ronaldo anakuwa amefikisha mabao 82 katika mechi za Ligi ya Mabingwa na mabao 501 jumla […]

 

9 years ago

MillardAyo

Hizi ndio rekodi 7 za Cristiano Ronaldo alizoweka mwaka 2015 pekee …

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo amefanikiwa kuweka rekodi kadhaa kubwa katika soka, ukiachana na kutwaa tuzo ya tatu ya mchezaji bora wa Dunia  Ballon d’Or kwa mwaka 2015, Ronaldo amefanikiwa kuweka rekodi 7 mpya. 7- Ronaldo amefanikiwa kufunga jumla ya hat-trick 28 katika kipindi cha mwaka […]

The post Hizi ndio rekodi 7 za Cristiano Ronaldo alizoweka mwaka 2015 pekee … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

ZIETLOF AVUNJA REKODI NYINGINE YA DUNIA AKIWA TANZANIA



 Dereva Toka  Nchini Ujerumani Rainer Zietlof akiwa na Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh(wa pili toka kulia)wakipata picha ya pamoja na wanahabari Meneja Mkuu wa Alliance Autos Wayne Mcintosh(kushoto) Akipata picha na Dereva Toka  Nchini Ujerumani Rainer Zietlof

 Meneja Masoko wa Alliance Autos Tharaia Ahmed(kushoto)akipata picha na Dereva Rainer Zietlof


Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh akisoma cheti cha rekodi ya dunia alichopewa dereva toka...

 

5 years ago

Sports Mole

Solskjaer backs Anthony Martial to reach 20 goals this season

Solskjaer backs Anthony Martial to reach 20 goals this season  Sports MoleEvra reveals how he convinced Solskjaer to give Williams a chance at Man Utd  Goal.comOle Gunnar Solskjaer awkwardly rejected after offering handshake to Club Brugge manager  GIVEMESPORTOle Gunnar Solskjaer's tactical blunders will cost Man United dear  The Peoples PersonPhoto - Inter Striker Lukaku Becomes First Player In 15 Years To Score In 6 Straight Europa League Games  SempreInterView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Bongo5

Van Gaal amtaka Anthony Martial kujituma zaidi

2E14080C00000578-3302576-image-a-14_1446588273133

Kocha wa klabu ya Manchester United, Louis Van Gaal anaona hapo baadaye kuwa mchezaji Anthony Martial ataongoza safu ya mashambulizi katika siku za usoni.

2E14080C00000578-3302576-image-a-14_1446588273133

Mchezaji huyo wa miaka 19, aliyesajiliwa kutoka klabu ya Monaco kwa pauni milioni 36, mnamo mwezi Agosti, amefunga mabao matano msimu huu, lakini amekuwa akichezeshwa upande wa kushoto, ikiwemo mechi ya Jumanne dhidi ya CSKA Mosco.

Louis Van Gaal amesema “ni kijana mdogo sana, lakini ni bora iwapo ataimarika kama mshambuliaji.”

Source:...

 

9 years ago

Bongo5

Anthony Martial arudisha heshima hii Man United

Klabu ya Manchester United ya Uingereza ilikaa miaka miwili bila kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi. Tuzo hiyo ya mchezaji bora wa mwezi kwa sasa imechukuliwa na Anthony Martial mshambuliaji ambaye ana umri mdogo aliyeweka rekodi ya kuuzwa kwa gharama ya juu katika dirisha la usajili lililofungwa mwezi August. Anthony Martial anakuwa mshambuliaji wa […]

 

5 years ago

Manchester Evening News

Paul Scholes questions Anthony Martial's role for Manchester United

Paul Scholes questions Anthony Martial's role for Manchester United  Manchester Evening NewsPredicting Man Utd's Starting XI for Thursday's Clash With Club Brugge  90minOle Gunnar Solskjaer announces huge Marcus Rashford injury blow for Man United in top four race  Football.LondonFred backs Solskjaer but admits Man Utd are 'not doing as well' as they should be  Goal.comChelsea Learn Extent of N'Golo Kante Injury Sustained During Man Utd Defeat  90minView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Bleacher Report

Manchester United's Anthony Martial Out vs. Club Brugge After Training Injury

Manchester United's Anthony Martial Out vs. Club Brugge After Training Injury  Bleacher ReportManchester United fans delighted with Bruno Fernandes' performance vs Club Brugge  The Peoples PersonMan Utd team news: Duo ruled out vs Club Brugge, but positive news for Solskjaer  CaughtOffside‘Nothing is impossible at Man Utd’ – Bailly sets his sights on a second Europa League crown  Goal.comPaul Scholes insists he likes everything about Bruno Fernandes  The Peoples PersonView Full coverage on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani