Anthony Martial avunja rekodi ya Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford
Mchezaji mpya wa Manchester United, Anthony Martial baada ya jana usiku kufunga goli dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi katika michuano ya klabu bingwa Ulaya, ameweka rekodi ambayo ilimshinda Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford. Akiwa na miaka 19 Martial ameshafunga magoli 5 katika mechi 9, huku katika umri huo huo Cristiano Ronaldo ilimchukua mechi 39 […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Ronaldo avunja rekodi ya Messi
9 years ago
Bongo501 Oct
Cristiano Ronaldo aifikia rekodi ya Raul, Real ikishinda 2-0
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Hizi ndio rekodi 7 za Cristiano Ronaldo alizoweka mwaka 2015 pekee …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo amefanikiwa kuweka rekodi kadhaa kubwa katika soka, ukiachana na kutwaa tuzo ya tatu ya mchezaji bora wa Dunia Ballon d’Or kwa mwaka 2015, Ronaldo amefanikiwa kuweka rekodi 7 mpya. 7- Ronaldo amefanikiwa kufunga jumla ya hat-trick 28 katika kipindi cha mwaka […]
The post Hizi ndio rekodi 7 za Cristiano Ronaldo alizoweka mwaka 2015 pekee … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi05 Nov
ZIETLOF AVUNJA REKODI NYINGINE YA DUNIA AKIWA TANZANIA
Dereva Toka Nchini Ujerumani Rainer Zietlof akiwa na Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh(wa pili toka kulia)wakipata picha ya pamoja na wanahabari
Meneja Masoko wa Alliance Autos Tharaia Ahmed(kushoto)akipata picha na Dereva Rainer Zietlof
Meneja mkuu wa Alliance Autos Bwana Wayne Mcintosh akisoma cheti cha rekodi ya dunia alichopewa dereva toka...
5 years ago
Sports Mole22 Feb
Solskjaer backs Anthony Martial to reach 20 goals this season
9 years ago
Bongo504 Nov
Van Gaal amtaka Anthony Martial kujituma zaidi
![2E14080C00000578-3302576-image-a-14_1446588273133](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E14080C00000578-3302576-image-a-14_1446588273133-300x194.jpg)
Kocha wa klabu ya Manchester United, Louis Van Gaal anaona hapo baadaye kuwa mchezaji Anthony Martial ataongoza safu ya mashambulizi katika siku za usoni.
Mchezaji huyo wa miaka 19, aliyesajiliwa kutoka klabu ya Monaco kwa pauni milioni 36, mnamo mwezi Agosti, amefunga mabao matano msimu huu, lakini amekuwa akichezeshwa upande wa kushoto, ikiwemo mechi ya Jumanne dhidi ya CSKA Mosco.
Louis Van Gaal amesema “ni kijana mdogo sana, lakini ni bora iwapo ataimarika kama mshambuliaji.”
Source:...
9 years ago
Bongo517 Oct
Anthony Martial arudisha heshima hii Man United
5 years ago
Manchester Evening News20 Feb
Paul Scholes questions Anthony Martial's role for Manchester United
5 years ago
Bleacher Report28 Feb
Manchester United's Anthony Martial Out vs. Club Brugge After Training Injury