Van Gaal amtaka Anthony Martial kujituma zaidi
Kocha wa klabu ya Manchester United, Louis Van Gaal anaona hapo baadaye kuwa mchezaji Anthony Martial ataongoza safu ya mashambulizi katika siku za usoni.
Mchezaji huyo wa miaka 19, aliyesajiliwa kutoka klabu ya Monaco kwa pauni milioni 36, mnamo mwezi Agosti, amefunga mabao matano msimu huu, lakini amekuwa akichezeshwa upande wa kushoto, ikiwemo mechi ya Jumanne dhidi ya CSKA Mosco.
Louis Van Gaal amesema “ni kijana mdogo sana, lakini ni bora iwapo ataimarika kama mshambuliaji.”
Source:...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Van Gaal amtaka Martial kushambulia
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Hivi ndivyo Wayne Rooney na Anthony Martial walivyomfanya Louis van Gaal aanze kutabasamu (+Pichaz)
Kipute cha Ligi Kuu Uingereza kimeendelea tena leo January 2 kwa michezo kadhaa kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini humo, Man United walikuwa wenyeji wa Swansea City katika dimba la Old Trafford, wakati Arsenal walikuwa wenyeji wa Newcastle United katika dimba la Emirates. Mchezo ambao ulikuwa na nafasi ya kutazamwa na watu wengi ni mchezo kati […]
The post Hivi ndivyo Wayne Rooney na Anthony Martial walivyomfanya Louis van Gaal aanze kutabasamu (+Pichaz) appeared first on...
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Van Gaal amtaka Ryan Giggs kumrithi
9 years ago
Bongo517 Oct
Anthony Martial arudisha heshima hii Man United
5 years ago
Sports Mole22 Feb
Solskjaer backs Anthony Martial to reach 20 goals this season
9 years ago
Bongo522 Oct
Anthony Martial avunja rekodi ya Cristiano Ronaldo akiwa Old Trafford
5 years ago
Mirror Online27 Mar
Reason why Anthony Martial has not reached Thierry Henry's level explained
5 years ago
Bleacher Report28 Feb
Manchester United's Anthony Martial Out vs. Club Brugge After Training Injury
5 years ago
Manchester Evening News20 Feb
Paul Scholes questions Anthony Martial's role for Manchester United