Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Van Gaal amtaka Ryan Giggs kumrithi

Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal anaamini kwamba kilabu hiyo itamuajiri Ryan Giggs kama mrithi wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sijakosana na Van Gaal, asema Ryan Giggs

Naibu mkufunzi katika timu ya Manchester United Ryan Giggs amepinga madai ya mkwaruzano kati yake na mkufunzi wa kilabu hiyo

 

9 years ago

Africanjam.Com

LOUIS VAN GAAL AND RYAN GIGGS EXCHANGE DUBIOUS LOOKS AFTER CHICHARITO PENALTY MISS

Manchester United manager Louis van Gaal and his assistant Ryan Giggs exchanged a sideways glance with one another after Javier "Chicharito" Hernandez missed a second-half penalty in a 4-0 win against Club Brugge.


The "Do we sell him" look: https://t.co/gEhpFkvaoB— Basti (@FideoMUFC) August 26, 2015
The Mexican international has been the subject of numerous transfer rumours this summer, with interest from teams like West Ham and Tottenham in the Premier League as well as Major League Soccer's...

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal amtaka Martial kushambulia

Mkufunzi wa Manchester United Louis Van Gaal anahisi kuwa mchezaji Anthony Martial ataongoza safu ya mashambulizi siku za usoni.

 

9 years ago

Bongo5

Van Gaal amtaka Anthony Martial kujituma zaidi

2E14080C00000578-3302576-image-a-14_1446588273133

Kocha wa klabu ya Manchester United, Louis Van Gaal anaona hapo baadaye kuwa mchezaji Anthony Martial ataongoza safu ya mashambulizi katika siku za usoni.

2E14080C00000578-3302576-image-a-14_1446588273133

Mchezaji huyo wa miaka 19, aliyesajiliwa kutoka klabu ya Monaco kwa pauni milioni 36, mnamo mwezi Agosti, amefunga mabao matano msimu huu, lakini amekuwa akichezeshwa upande wa kushoto, ikiwemo mechi ya Jumanne dhidi ya CSKA Mosco.

Louis Van Gaal amesema “ni kijana mdogo sana, lakini ni bora iwapo ataimarika kama mshambuliaji.”

Source:...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ryan Giggs azungumzia Man U

Meneja huyo wa muda Ryan Giggs amesema siku chache zilizopita zimekuwa kama fujo tupu kwa klabu hiyo na akaahidi kuwafurahisha mashabiki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ryan Giggs aanza vizuri ManU

Meneja mpya wa Manchester United Ryan Giggs ameanza vizuri kwa ushindi wa 4-0 dhidi ya Norwich City

 

10 years ago

Mwananchi

Ryan Giggs amnyima Kluivert ulaji Manchester United

Nyota wa zamani wa Barcelona, na Uholanzi, Patrick Kluivert ameeleza kwamba alijua kuwa asingefuatana na kocha wake wa kikosi cha Uholanzi, Louis van Gaal kwenda Manchester United Julai mwaka huu.

 

11 years ago

Michuzi

Chief Woodward delivers news to failed Man United boss in early morning Carrington meeting with Ryan Giggs to take charge until end of season

David Moyes has been sacked by Manchester United with immediate effect. Chief executive Ed Woodward arrived at Carrington at 8am on Tuesday morning to inform the Scot face-to-face of the news.
Moyes had already been informed of his fate and thanked club staff at the training complex in anticipation of his departure. The players were not present at the time.
A tweet on the club's official Twitter account read: 'BREAKING: Manchester United announces that David Moyes has left the club. The...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho amsifu Van Gaal

Mkufunzi wa timu ya Manchester Louis van Gaal amesisitiza kuwa hakuchukuwa jukumu kubwa la kumboresha Mourinho

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani