Van Gaal amtaka Martial kushambulia
Mkufunzi wa Manchester United Louis Van Gaal anahisi kuwa mchezaji Anthony Martial ataongoza safu ya mashambulizi siku za usoni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Nov
Van Gaal amtaka Anthony Martial kujituma zaidi
![2E14080C00000578-3302576-image-a-14_1446588273133](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E14080C00000578-3302576-image-a-14_1446588273133-300x194.jpg)
Kocha wa klabu ya Manchester United, Louis Van Gaal anaona hapo baadaye kuwa mchezaji Anthony Martial ataongoza safu ya mashambulizi katika siku za usoni.
Mchezaji huyo wa miaka 19, aliyesajiliwa kutoka klabu ya Monaco kwa pauni milioni 36, mnamo mwezi Agosti, amefunga mabao matano msimu huu, lakini amekuwa akichezeshwa upande wa kushoto, ikiwemo mechi ya Jumanne dhidi ya CSKA Mosco.
Louis Van Gaal amesema “ni kijana mdogo sana, lakini ni bora iwapo ataimarika kama mshambuliaji.”
Source:...
10 years ago
BBCSwahili25 Apr
Van Gaal amtaka Ryan Giggs kumrithi
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Hivi ndivyo Wayne Rooney na Anthony Martial walivyomfanya Louis van Gaal aanze kutabasamu (+Pichaz)
Kipute cha Ligi Kuu Uingereza kimeendelea tena leo January 2 kwa michezo kadhaa kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini humo, Man United walikuwa wenyeji wa Swansea City katika dimba la Old Trafford, wakati Arsenal walikuwa wenyeji wa Newcastle United katika dimba la Emirates. Mchezo ambao ulikuwa na nafasi ya kutazamwa na watu wengi ni mchezo kati […]
The post Hivi ndivyo Wayne Rooney na Anthony Martial walivyomfanya Louis van Gaal aanze kutabasamu (+Pichaz) appeared first on...
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Hatufikirii ubingwa:Van gaal
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg
10 years ago
BBCSwahili25 Oct
Mourinho amsifu Van Gaal
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
VAN GAAL : FIFA IMETUONEA
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Van Gaal; Kopo la maji uwanjani ?