Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LOUIS VAN GAAL AND RYAN GIGGS EXCHANGE DUBIOUS LOOKS AFTER CHICHARITO PENALTY MISS

Manchester United manager Louis van Gaal and his assistant Ryan Giggs exchanged a sideways glance with one another after Javier "Chicharito" Hernandez missed a second-half penalty in a 4-0 win against Club Brugge.


The "Do we sell him" look: https://t.co/gEhpFkvaoB— Basti (@FideoMUFC) August 26, 2015
The Mexican international has been the subject of numerous transfer rumours this summer, with interest from teams like West Ham and Tottenham in the Premier League as well as Major League Soccer's...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal amtaka Ryan Giggs kumrithi

Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal anaamini kwamba kilabu hiyo itamuajiri Ryan Giggs kama mrithi wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sijakosana na Van Gaal, asema Ryan Giggs

Naibu mkufunzi katika timu ya Manchester United Ryan Giggs amepinga madai ya mkwaruzano kati yake na mkufunzi wa kilabu hiyo

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio kauli ya Louis van Gaal iliyomuondoa Chicharito katika klabu ya Man United …

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United anayekipiga katika klabu ya  Bayer Leverkusen ya Ujerumani kwa sasa Javier Hernandez Chicharito amefunguka kwa nini aliamua kuondoka Man United. Chicharito ambaye aliondoka Man United mwaka 2015 baada ya kucheza kwa mkopo wa muda mfupi ndani ya klabu ya Real Madrid. Kwa mara ya kwanza Chicharito ndio anatajwa sababu […]

The post Hii ndio kauli ya Louis van Gaal iliyomuondoa Chicharito katika klabu ya Man United … appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Hivi ndivyo Chicharito alivyozidi kumtia aibu kocha wa Man United Louis van Gaal …

Mshambuliaji wa kimataifa wa Mexico anayekipiga katika klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani Javier ‘Chicharito’ Hernandez, December 31 amerudi tena katika headlines za soka, baada ya mafanikio yake kuzidi kuonekana. Chicharito amerudi kwenye headlines baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi. Kufuatia kushinda tuzo hiyo ya mchezaji bora wa mwezi, hii inatafsirika […]

The post Hivi ndivyo Chicharito alivyozidi kumtia aibu kocha wa Man United Louis van Gaal …...

 

9 years ago

BBCSwahili

Louis van Gaal awapasha waandishi.

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal ambaye kwa sasa yuko katika hali mbaya ndani ya klabu hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Louis Van Gaal amwaga tambo

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal baada ya Ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Southampton sasa atamba kuchukua ubingwa England.

 

9 years ago

BBCSwahili

Louis van Gaal hana kisingizio

Bosi wa Manchester United Louis van Gaal amesema hana kisingizio chochote cha kwanini wametolewa kwenye UEFA Champions ligi.

 

11 years ago

GPL

LOUIS VAN GAAL KOCHA MPYA MANCHESTER UNITED

Kocha mpya wa Manchester United, Louis van Gaal. KOCHA wa timu ya Taifa ya Uholanzi, Louis van Gaal ndiye kocha mpya wa Manchester United. Gaal ataiongoza timu hiyo kwa miaka mitatu baada ya Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil. Aliyekuwa kocha wa muda wa timu hiyo, Ryan Giggs ndiye atakuwa msaidizi wake. Klabu ya Manchester United imethibitisha taarifa hizi kupitia ukurasa wake wa Facebook hivi punde. ...

 

10 years ago

Bongo5

Louis van Gaal azitaja sababu za kutaka kumtema Victor Valdes

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal anaonekana kumwonyesha mlango wa kutokea Old Trafford mlinda mlango, Victor Valade baada ya kuonekana hana nidhamu. Louis van Gaal akiongea na waandishi wa habari nchini Marekani Kocha huyo alibainisha kuwa Valdes alikataa kuichezea timu ya pili msimu uliopita. Anadai kuwa Valdes ameshindwa kuendana na falsafa zake ndani ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani