Hivi ndivyo Chicharito alivyozidi kumtia aibu kocha wa Man United Louis van Gaal …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Mexico anayekipiga katika klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani Javier ‘Chicharito’ Hernandez, December 31 amerudi tena katika headlines za soka, baada ya mafanikio yake kuzidi kuonekana. Chicharito amerudi kwenye headlines baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi. Kufuatia kushinda tuzo hiyo ya mchezaji bora wa mwezi, hii inatafsirika […]
The post Hivi ndivyo Chicharito alivyozidi kumtia aibu kocha wa Man United Louis van Gaal …...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Hii ndio kauli ya Louis van Gaal iliyomuondoa Chicharito katika klabu ya Man United …
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United anayekipiga katika klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani kwa sasa Javier Hernandez Chicharito amefunguka kwa nini aliamua kuondoka Man United. Chicharito ambaye aliondoka Man United mwaka 2015 baada ya kucheza kwa mkopo wa muda mfupi ndani ya klabu ya Real Madrid. Kwa mara ya kwanza Chicharito ndio anatajwa sababu […]
The post Hii ndio kauli ya Louis van Gaal iliyomuondoa Chicharito katika klabu ya Man United … appeared first on...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s72-c/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
Kocha mpya wa Man United Louis van Gaal aanza kazi kwa mikwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s1600/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
"Msimu uliopita mmemaliza ligi mkiwa nafasi ya saba kwa hiyo nyie sio klabu kubwa duniani. Mnahitaji kujidhihirisha wenyewe, ingawa dunia nzima wanazungumzia Manchester United - hiyo ndio tofauti", alisema.
"Hii ni changamoto kubwa na ndio maana...
9 years ago
Bongo523 Oct
Kocha wa Man United, Louis Van Gaal anaamini Chris Smalling anafaa kuwa nahodha
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBImVWISxAHDZ44HD0KBzqIr*rDeGmgqk1xva*mI2LQEtHqc*NRX6x-6GjPqRBn1-x*LB46ZkdLt-T2-nl38dKqVF/GAAL_1513996a.jpg)
LOUIS VAN GAAL KOCHA MPYA MANCHESTER UNITED
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Hivi ndivyo Wayne Rooney na Anthony Martial walivyomfanya Louis van Gaal aanze kutabasamu (+Pichaz)
Kipute cha Ligi Kuu Uingereza kimeendelea tena leo January 2 kwa michezo kadhaa kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini humo, Man United walikuwa wenyeji wa Swansea City katika dimba la Old Trafford, wakati Arsenal walikuwa wenyeji wa Newcastle United katika dimba la Emirates. Mchezo ambao ulikuwa na nafasi ya kutazamwa na watu wengi ni mchezo kati […]
The post Hivi ndivyo Wayne Rooney na Anthony Martial walivyomfanya Louis van Gaal aanze kutabasamu (+Pichaz) appeared first on...
9 years ago
Bongo530 Oct
Paul Scholes: Nisingeweza kucheza Man United, kwa mfumo wa Louis van Gaal
![scholes-615580](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/scholes-615580-94x94.jpg)
9 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-hyvQDhQSdXY/Vd7QOPgIE_I/AAAAAAAADZw/tyJivdjCN7k/s72-c/2BAFD90C00000578-0-image-a-23_1440623962502.jpg)
LOUIS VAN GAAL AND RYAN GIGGS EXCHANGE DUBIOUS LOOKS AFTER CHICHARITO PENALTY MISS
![](http://1.bp.blogspot.com/-hyvQDhQSdXY/Vd7QOPgIE_I/AAAAAAAADZw/tyJivdjCN7k/s400/2BAFD90C00000578-0-image-a-23_1440623962502.jpg)
The "Do we sell him" look: https://t.co/gEhpFkvaoB— Basti (@FideoMUFC) August 26, 2015
The Mexican international has been the subject of numerous transfer rumours this summer, with interest from teams like West Ham and Tottenham in the Premier League as well as Major League Soccer's...
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Kauli ya Wayne Rooney kuhusu ajira ya Louis van Gaal na walichoamua wachezaji wa Man United …
Bado hali sio nzuri ndani ya klabu ya Man United, haikatishi siku bila mitandao ya kijamii, magazeti na tovuti kujadili juu ya kibarua cha kocha wa sasa wa Man United Louis van Gaal, mengi yameandikwa na kwakuwa Uingereza ndio Ligi inayopendwa na vyombo vya habari vya nchi hiyo vina nguvu, basi usishangae kuona nakuletea stori nyingine […]
The post Kauli ya Wayne Rooney kuhusu ajira ya Louis van Gaal na walichoamua wachezaji wa Man United … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Ni kweli wachezaji wa Man United hawamtaki Louis van Gaal? David de Gea kajibu hapa …
Headlines za wachezaji wa Man United kuhusishwa kutomtaka kocha Louis van Gaal aendelee kukitumikia kikosi hiko zinazidi kuchukua nafasi kila siku, kuna wakati Louis van Gaal alisema ni kweli ataondoka Man United kama wachezaji hawatomtaka aendelee kuwepo. Stori za uchunguzi au tetesi zilikuwa nyingi kuwa Louis van Gaal hapatani na wachezaji wake. ila December 16 […]
The post Ni kweli wachezaji wa Man United hawamtaki Louis van Gaal? David de Gea kajibu hapa … appeared first on...