LOUIS VAN GAAL KOCHA MPYA MANCHESTER UNITED
![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBImVWISxAHDZ44HD0KBzqIr*rDeGmgqk1xva*mI2LQEtHqc*NRX6x-6GjPqRBn1-x*LB46ZkdLt-T2-nl38dKqVF/GAAL_1513996a.jpg)
Kocha mpya wa Manchester United, Louis van Gaal. KOCHA wa timu ya Taifa ya Uholanzi, Louis van Gaal ndiye kocha mpya wa Manchester United. Gaal ataiongoza timu hiyo kwa miaka mitatu baada ya Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil. Aliyekuwa kocha wa muda wa timu hiyo, Ryan Giggs ndiye atakuwa msaidizi wake. Klabu ya Manchester United imethibitisha taarifa hizi kupitia ukurasa wake wa Facebook hivi punde. ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s72-c/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
Kocha mpya wa Man United Louis van Gaal aanza kazi kwa mikwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s1600/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
"Msimu uliopita mmemaliza ligi mkiwa nafasi ya saba kwa hiyo nyie sio klabu kubwa duniani. Mnahitaji kujidhihirisha wenyewe, ingawa dunia nzima wanazungumzia Manchester United - hiyo ndio tofauti", alisema.
"Hii ni changamoto kubwa na ndio maana...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-s3HoMIRkJhc/VbZfSDM-mYI/AAAAAAAAC5o/G_rlCQUSG2s/s72-c/Untitled-1_3041363b.jpg)
LOUIS VAN GAAL OPENS UP ABOUT CRISTIANO RONALDO'S RETURN MANCHESTER UNITED
![](http://3.bp.blogspot.com/-s3HoMIRkJhc/VbZfSDM-mYI/AAAAAAAAC5o/G_rlCQUSG2s/s1600/Untitled-1_3041363b.jpg)
Despite breaking numerous records for Los Merengues, CR7 has been linked with a move away from the Bernabeu.Paris Saint-Germain are rumoured to be keen on the Portuguese star while Manchester United have also been linked with the 30-year-old.But Van Gaal appeared to downplay the likelihood of United...
9 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-r_M1ANEk6I4/Vf6e1YCaLmI/AAAAAAAADjE/-0Za7fpleVU/s72-c/pep-guardiola.jpg)
MANCHESTER UNITED EYEING PEP GUARDIOLA AS THE REPLACEMENT OF LOUIS VAN GAAL
![](http://1.bp.blogspot.com/-r_M1ANEk6I4/Vf6e1YCaLmI/AAAAAAAADjE/-0Za7fpleVU/s1600/pep-guardiola.jpg)
Club legend Ryan Giggs had been expected to take over when the Dutchman's deal expires in 2017 but the Bayern boss is on their radar for NEXT summerLouis van Gaal has confirmed that he WILL walk away from Manchester United in 2017.The 64-year-old Dutchman, who signed a three-year contract when he arrived at Old Trafford last summer, insists he will not be reversing his decision to retire in 18 months’ time.But while Van Gaal is grooming his No 2 Ryan Giggs to be the next Old Trafford...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-semC77SV2YA/VbnsggOp44I/AAAAAAAAC9M/8wT-B2x-QCU/s72-c/lvg-di-maria.jpg)
MANCHESTER UNITED MANAGER LOUIS VAN GAAL ADMITS 'I DON'T KNOW WHERE ANGEL DI MARIA IS..'
![](http://2.bp.blogspot.com/-semC77SV2YA/VbnsggOp44I/AAAAAAAAC9M/8wT-B2x-QCU/s640/lvg-di-maria.jpg)
Di Maria failed to join up with the United squad in San Jose for the last leg of their US tour, having been given an extended break following his involvement in the Copa America with Argentina.PSG boss Laurent Blanc, whose side beat United 2-0 in Chicago, claimed the French champions were “close to the end” of their negotiations...
5 years ago
Manchester Evening News22 Feb
Louis van Gaal gave damning verdict on Manchester United after Europa League clash
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-BNUtL4KUiYo/Vb45Ulpx2-I/AAAAAAAADFs/fxvUzGsttDs/s72-c/LVG-600x400.jpg)
TRANSFER NEWS: LOUIS VAN GAAL TELLS MANCHESTER UNITED BOARD TO SELL DAVID DE GEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BNUtL4KUiYo/Vb45Ulpx2-I/AAAAAAAADFs/fxvUzGsttDs/s1600/LVG-600x400.jpg)
Louis van Gaal has reportedly told the Manchester United board to sell David De Gea.The 24-year-old goalkeeper has his heart set on a move to Real Madrid but negotiations between the two clubs have shuddered to a halt.
De Gea has just one year remaining on his deal at Old Trafford and the two clubs are some way apart in their valuation of him.But Spanish newspaper AS say that Van Gaal has resigned himself to losing his No.1, and has told the club's board to sell him this summer rather than...
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Hivi ndivyo Chicharito alivyozidi kumtia aibu kocha wa Man United Louis van Gaal …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Mexico anayekipiga katika klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani Javier ‘Chicharito’ Hernandez, December 31 amerudi tena katika headlines za soka, baada ya mafanikio yake kuzidi kuonekana. Chicharito amerudi kwenye headlines baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi. Kufuatia kushinda tuzo hiyo ya mchezaji bora wa mwezi, hii inatafsirika […]
The post Hivi ndivyo Chicharito alivyozidi kumtia aibu kocha wa Man United Louis van Gaal …...
9 years ago
Bongo523 Oct
Kocha wa Man United, Louis Van Gaal anaamini Chris Smalling anafaa kuwa nahodha
9 years ago
Bongo531 Dec
David Moyes ametoa mtazamo wake kuhusu kocha Louis van Gaal
![2FAFDCED00000578-3379123-David_Moyes_has_placed_his_support_behind_Manchester_United_bele-a-108_1451493821789](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/2FAFDCED00000578-3379123-David_Moyes_has_placed_his_support_behind_Manchester_United_bele-a-108_1451493821789-300x194.jpg)
Kocha wa zamani wa Everton na Manchester United, David Moyes ameeleza mtazamo wake kuhusu kocha wa sasa wa United Louis van Gaal. David Moyes amesema Van Gaal anastahili kupewa muda zaidi huku akiamini kuwa Manchester United inaweza kuzoa mafanikio chini ya Mdachi huyo.
Mashabiki wa United tayari wamepoteza imani kwa Van Gaal huku wakishuhudia klabu yao iliyokosa soka la kuburudisha ikifunga magoli 13 tu msimu huu kwenye Premier League. Lakini licha ya shutuma za mashabiki na wachambuzi wa...