Lionel Messi overtakes Cristiano Ronaldo to set new record with goal vs Real Sociedad
Lionel Messi overtakes Cristiano Ronaldo to set new record with goal vs Real Sociedad Mirror OnlineBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him Goal.comLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad GIVEMESPORTReal Madrid will be without two stars at Real Betis The Real Champs'When the club is weak, these things come up' - Pique defends Sarabia after Barca win Goal.comView Full coverage on Google...
Mirror Online
Habari Zinazoendana
5 years ago
Mirror Online20 Feb
Erling Haaland's latest record sees striker usurp Lionel Messi and Cristiano Ronaldo
9 years ago
Bongo501 Dec
Lionel Messi amgalagaza Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za La Liga
![Ronaldo-Messi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ronaldo-Messi-300x194.jpg)
Lionel Messi ametajwa kama mchezaji bora na kumpiku Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za kila mwaka za La Liga zilizotolewa jijini Barcelona, Jumatatu hii.
Tuzo hizo zilizotolewa siku moja ambayo wawili hao pia walitajwa kwenye majina yaliyochujwa kwenye tuzo ya Ballon d’Or ilikuwa moja kati ya mbili zilizochukuliwa na staa huyo wa Argentina.
Naye kocha wa Barcelona, Luis Enrique alitajwa kama kocha wa mwaka.
Messi pia alishinda mshambuliaji bora huku Neymar akishinda mchezaji bora wa...
5 years ago
Barca Blaugranes08 Mar
FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo
5 years ago
Mirror Online28 Mar
Jamie Carragher blasts 'stupid' Lionel Messi claim in Cristiano Ronaldo debate
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Cristiano Ronaldo na Lionel Messi: Ni nani atakayewarithi nyota wa mchezo wa kandanda duniani muongo huu?
5 years ago
Latest News In Nigeria &Amp; Breaking Naija News 24/7 | LEGIT.NG11 Mar
Barcelona trolls Ronaldo as Messi overtakes him on all-time highest scorer list
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Lionel Messi amgaragaza Ronaldo tuzo za Globe
EMIRATES, DUBAI
NYOTA wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi, amemgaragaza mpinzani wake, Cristiano Ronaldo wa Real Madrid katika tuzo za Globe Soccer, ambapo Messi amefanikiwa kuchukua mchezaji bora wa mwaka.
Tuzo hizo ambazo zimetolewa juzi mjini Dubai, Messi aliibuka kinara wa tuzo hizo huku Ronaldo akishika nafasi ya pili.
Wakati huo huo, klabu ya Barcelona ilifanikiwa kuchukua klabu bora ya mwaka kutokana na kukusanya mataji mengi msimu uliopita, huku Josep Bartomeu akichukua rais bora wa...
9 years ago
Bongo501 Oct
Cristiano Ronaldo aifikia rekodi ya Raul, Real ikishinda 2-0
9 years ago
Bongo514 Nov
Ushauri wa David Beckham kama Cristiano Ronaldo ataondoka Real Madrid
![david_beckham-759](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/david_beckham-759-300x194.jpg)
David Beckham mchezaji wa zamani wa soka wa Man United, Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza, Beckham ni mchezaji ambaye alivyo ondoka Man United jezi yake namba saba ilirithiwa na Cristiano Ronaldo.
Beckham alipo kuwa kwenye interview alifunguka kuwa kama Cristiano Ronaldo atahama Real Madrid ni vizuri akirudi Man United,
“Sikuwahi kumshauri yoyote kurudi Man United, Cristiano amekuwa kama shabiki wa Man United kwani anaipenda na amefanya vizuri akiwa Old Trafford na kucheza kwa...