Lionel Messi amgaragaza Ronaldo tuzo za Globe
EMIRATES, DUBAI
NYOTA wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi, amemgaragaza mpinzani wake, Cristiano Ronaldo wa Real Madrid katika tuzo za Globe Soccer, ambapo Messi amefanikiwa kuchukua mchezaji bora wa mwaka.
Tuzo hizo ambazo zimetolewa juzi mjini Dubai, Messi aliibuka kinara wa tuzo hizo huku Ronaldo akishika nafasi ya pili.
Wakati huo huo, klabu ya Barcelona ilifanikiwa kuchukua klabu bora ya mwaka kutokana na kukusanya mataji mengi msimu uliopita, huku Josep Bartomeu akichukua rais bora wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Dec
Lionel Messi amgalagaza Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za La Liga
![Ronaldo-Messi](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ronaldo-Messi-300x194.jpg)
Lionel Messi ametajwa kama mchezaji bora na kumpiku Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za kila mwaka za La Liga zilizotolewa jijini Barcelona, Jumatatu hii.
Tuzo hizo zilizotolewa siku moja ambayo wawili hao pia walitajwa kwenye majina yaliyochujwa kwenye tuzo ya Ballon d’Or ilikuwa moja kati ya mbili zilizochukuliwa na staa huyo wa Argentina.
Naye kocha wa Barcelona, Luis Enrique alitajwa kama kocha wa mwaka.
Messi pia alishinda mshambuliaji bora huku Neymar akishinda mchezaji bora wa...
9 years ago
MillardAyo28 Dec
List ya washindi wa tuzo za Globe Soccer Awards 2015, Lionel Messi kashinda, hii ndio list kamili …
Ikiwa ni siku kadhaa zimepita toka gazeti la Hispania la Marca litangaze list ya wachezaji kumi bora kwa mwaka 2015 ikiongozwa na Lionel Messi ikifuatiwana Neymar na Cristiano Ronaldo kutajwa kuwa nafasi ya nane. December 27 Lionel Messi ametajwa kushinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2015 (Globe Soccer Awards) inayotolewa kila mwaka. Globe Soccer Awards […]
The post List ya washindi wa tuzo za Globe Soccer Awards 2015, Lionel Messi kashinda, hii ndio list kamili … appeared first on...
5 years ago
Barca Blaugranes08 Mar
FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo
5 years ago
Mirror Online28 Mar
Jamie Carragher blasts 'stupid' Lionel Messi claim in Cristiano Ronaldo debate
5 years ago
Mirror Online08 Mar
Lionel Messi overtakes Cristiano Ronaldo to set new record with goal vs Real Sociedad
5 years ago
Mirror Online20 Feb
Erling Haaland's latest record sees striker usurp Lionel Messi and Cristiano Ronaldo
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Cristiano Ronaldo na Lionel Messi: Ni nani atakayewarithi nyota wa mchezo wa kandanda duniani muongo huu?
9 years ago
Bongo528 Dec
Lionel Messi ashinda tuzo nyingine, orodha kamili ipo hapa
![Tuzo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Tuzo-300x194.jpg)
Superstar wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2015 (Globe Soccer Awards) inayotolewa kila mwaka.
Lionel Messi akipokea tuzo yake ya heshima ya mchezaji bora wa mwaka kutoka Globe Soccer, Dubai
Globe Soccer Awards 2015 zilizotolewa huko Dubai na ni tuzo maalum kwa ajili ya wanasoka, viongozi bora wa klabu, wakala bora, kocha bora.
Legend wa Italia Andrea Pirlo alishinda tuzo ya heshima baada ya Globe Soccer kutambua mchango wake kwenye soka
Ni tuzo...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Messi aanza kumfunika Ronaldo kimahesabu, achukua tuzo 2
Michel Platini akimkabidhi tuzo Lionel Messi, huku Cristiano Ronaldo akishuhudia tukio hilo.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ile kauli ya dalili ya mvua ni mawingu ndiyo inayoonekana na kwa staa wa Barcelona, Lionel Messi (pichani kushoto), ikiwa ni siku moja tangu Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kutaja majina matatu ya wachezaji watakaowania tuzo hiyo, nyota ya Messi imeanza kung’aa baada ya kutwaa tuzo mbili (2) katika utoaji wa tuzo za Ligi ya Hispania La Liga.
Katika sherehe hizo...