Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lionel Messi amgalagaza Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za La Liga

Ronaldo-Messi

Lionel Messi ametajwa kama mchezaji bora na kumpiku Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za kila mwaka za La Liga zilizotolewa jijini Barcelona, Jumatatu hii.

Ronaldo-Messi

Tuzo hizo zilizotolewa siku moja ambayo wawili hao pia walitajwa kwenye majina yaliyochujwa kwenye tuzo ya Ballon d’Or ilikuwa moja kati ya mbili zilizochukuliwa na staa huyo wa Argentina.

Naye kocha wa Barcelona, Luis Enrique alitajwa kama kocha wa mwaka.

Messi pia alishinda mshambuliaji bora huku Neymar akishinda mchezaji bora wa...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Barca Blaugranes

FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo

FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo  Barca BlaugranesBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him  Goal.comLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad  GIVEMESPORTJordi Alba tells Barcelona fans to respect him after Real Sociedad win  Barca BlaugranesLionel Messi Is Now The All-Time Top Scorer In Top Five European Leagues  SPORTbibleView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Mirror Online

Jamie Carragher blasts 'stupid' Lionel Messi claim in Cristiano Ronaldo debate

Jamie Carragher blasts 'stupid' Lionel Messi claim in Cristiano Ronaldo debate  Mirror OnlineMessi, Ronaldo and world’s best paid footballers set for wage cuts  Financial Times‘Stupid to suggest Messi needs move from Barcelona’ – Carragher doesn’t rank Ronaldo higher for having changed clubs  GoalJadon Sancho turns 20 with better stats as a teenager than Lionel Messi and Cristiano Ronaldo  Daily MailLiverpool target Jadon Sancho’s stats are ahead of Ronaldo and Messi at same age  Rousing the...

 

5 years ago

Mirror Online

Lionel Messi overtakes Cristiano Ronaldo to set new record with goal vs Real Sociedad

Lionel Messi overtakes Cristiano Ronaldo to set new record with goal vs Real Sociedad  Mirror OnlineBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him  Goal.comLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad  GIVEMESPORTReal Madrid will be without two stars at Real Betis  The Real Champs'When the club is weak, these things come up' - Pique defends Sarabia after Barca win  Goal.comView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Mirror Online

Erling Haaland's latest record sees striker usurp Lionel Messi and Cristiano Ronaldo

Erling Haaland's latest record sees striker usurp Lionel Messi and Cristiano Ronaldo  Mirror OnlineWhat if Erling Haaland had joined Arsenal, Chelsea or Tottenham in the January transfer window  Football.LondonUEFA Champions League Highlights: PSG, Borussia Dortmund, Liverpool and Atletico Madrid matches from Round of 16 first leg  Goal.comFrankenstein Footballer Erling Haaland Is a Forward Composited of the Best Strikers' Qualities  90minReal Madrid: 5 players who must step up in the...

 

5 years ago

BBCSwahili

Cristiano Ronaldo na Lionel Messi: Ni nani atakayewarithi nyota wa mchezo wa kandanda duniani muongo huu?

Huku tukielekea katika muongo mpya, BBC Sport anauliza ni nani atakayechukua mahal pao Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kama viongozi wa soka duniani?

 

9 years ago

Mtanzania

Lionel Messi amgaragaza Ronaldo tuzo za Globe

MessiEMIRATES, DUBAI

NYOTA wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi, amemgaragaza mpinzani wake, Cristiano Ronaldo wa Real Madrid katika tuzo za Globe Soccer, ambapo Messi amefanikiwa kuchukua mchezaji bora wa mwaka.

Tuzo hizo ambazo zimetolewa juzi mjini Dubai, Messi aliibuka kinara wa tuzo hizo huku Ronaldo akishika nafasi ya pili.

Wakati huo huo, klabu ya Barcelona ilifanikiwa kuchukua klabu bora ya mwaka kutokana na kukusanya mataji mengi msimu uliopita, huku Josep Bartomeu akichukua rais bora wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Cristiano Ronaldo atwaa tuzo ya BBC.

Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya mwanamichezo bora wa mwaka wa shirika la utangazaji la BBC.

 

10 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo achukua tuzo ya mwanasoka bora wa Ulaya

Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa amekabidhiwa tuzo ya Mwanasoka Bora wa Ulaya. Christiano Ronaldo baada ya kushinda tuzo Wachezaji ambao alikuwa akishindanao katika kinyang’anyiro hicho ni mchezaji wa Bayern Munich, kipa Mjerumani Manuel Neuer na winga Mholanzi Arjen Robben pamoja na Ronaldo (katikati) akifurahia […]

 

9 years ago

Bongo5

Lionel Messi ashinda tuzo nyingine, orodha kamili ipo hapa

Tuzo

Superstar wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2015 (Globe Soccer Awards) inayotolewa kila mwaka.

Tuzo
Lionel Messi akipokea tuzo yake ya heshima ya mchezaji bora wa mwaka kutoka Globe Soccer, Dubai

Globe Soccer Awards 2015 zilizotolewa huko Dubai na ni tuzo maalum kwa ajili ya wanasoka, viongozi bora wa klabu, wakala bora, kocha bora.

Tuzo-3
Legend wa Italia Andrea Pirlo alishinda tuzo ya heshima baada ya Globe Soccer kutambua mchango wake kwenye soka

Ni tuzo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani