Cristiano Ronaldo achukua tuzo ya mwanasoka bora wa Ulaya
Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa amekabidhiwa tuzo ya Mwanasoka Bora wa Ulaya. Christiano Ronaldo baada ya kushinda tuzo Wachezaji ambao alikuwa akishindanao katika kinyang’anyiro hicho ni mchezaji wa Bayern Munich, kipa Mjerumani Manuel Neuer na winga Mholanzi Arjen Robben pamoja na Ronaldo (katikati) akifurahia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo528 Aug
Messi awashinda Ronaldo na Suarez tuzo ya mwanasoka bora Ulaya
11 years ago
GPL
CRISTIANO RONALDO MCHEZAJI BORA ULAYA
10 years ago
GPL
RONALDO MWANASOKA BORA WA DUNIA 2014
10 years ago
Bongo502 Dec
Nani kuibuka mwanasoka bora? Ni Ronaldo, Messi au Neuer?
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Cristiano Ronaldo atwaa tuzo ya BBC.
9 years ago
Bongo501 Dec
Lionel Messi amgalagaza Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za La Liga

Lionel Messi ametajwa kama mchezaji bora na kumpiku Cristiano Ronaldo kwenye tuzo za kila mwaka za La Liga zilizotolewa jijini Barcelona, Jumatatu hii.
Tuzo hizo zilizotolewa siku moja ambayo wawili hao pia walitajwa kwenye majina yaliyochujwa kwenye tuzo ya Ballon d’Or ilikuwa moja kati ya mbili zilizochukuliwa na staa huyo wa Argentina.
Naye kocha wa Barcelona, Luis Enrique alitajwa kama kocha wa mwaka.
Messi pia alishinda mshambuliaji bora huku Neymar akishinda mchezaji bora wa...
10 years ago
Habarileo04 Nov
Samatta awania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta ni miongoni mwa wachezaji 10 wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora wa mwaka kwa wachezaji wanaocheza soka Afrika.
11 years ago
GPL
SUAREZ ABEBA TUZO YA MWANASOKA BORA WA MWAKA