Nani kuibuka mwanasoka bora? Ni Ronaldo, Messi au Neuer?
Fifa imetoa orodha ya mwisho ya wachezaji watatu wanaowania tuzo ya mwanasoka bora duniani maarufu kwa jina la FIFA Ballon d’Or 2014. Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Manuel Neuer ndio wachezaji walioteuliwa kuwania tuzo ya FIFA Ballon d’Or 2014. Watatu hao ndiyo wameingia fainali na mshindi atapatikana Januari 12, 2015. Wachezaji hao ni Cristiano Ronaldo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Dec
Tuzo Fifa:Ronaldo,Messi,Neuer nani bora?
9 years ago
Bongo528 Aug
Messi awashinda Ronaldo na Suarez tuzo ya mwanasoka bora Ulaya
10 years ago
TheCitizen12 Jan
Ronaldo hopes to hold off Messi, Neuer to retain Ballon d’Or
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*E1*lxSss-cJcHw2GHhlAAnTrRI5Da4SVaPlWRoihLNM1rPyMRBwofUAl9V5j*NdiJ3Y1PJj8j4AqNnNl30OrDraLj3lrn*W/24A5691D000005780imagea48_1421089641522.jpg)
RONALDO MWANASOKA BORA WA DUNIA 2014
10 years ago
Bongo529 Aug
Cristiano Ronaldo achukua tuzo ya mwanasoka bora wa Ulaya
11 years ago
BBCSwahili09 Jan
Nani mwanasoka bora zaidi Afrika?
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Cristiano Ronaldo na Lionel Messi: Ni nani atakayewarithi nyota wa mchezo wa kandanda duniani muongo huu?
10 years ago
Dewji Blog22 May
Nani na nani kuibuka mshindi wa tuzo za Watu usiku huu leo Mei 22!!
Baada ya wiki kadhaa za mpambano mkali wa kura za tuzo za watu, leo ndio fainali.
Majina matatu yanashindania tuzo kwenye vipengele 13 vya mwaka huu. Majina hayo yameingia baada ya kuvuka michujo miwili migumu. Ni kura za mashabiki peke yake ndio ziliwaingiza kwenye fainali hiyo na mshindi atapatikana kwa kura za wananchi, hakuna kingine.
Washereheshaji kwenye fainali hizo ni Vj Penny na mchekeshaji Dogo Pepe huku muimbaji wa kike anayechipukia kwa kasi Ruby akitarajiwa kutumbuiza.
“Watu...
10 years ago
Mtanzania08 May
Messi aikata kauli ya Manuel Neuer
BARCELONA, HISPANIA
SIKU moja kaba ya mchezo wa juzi wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya Barcelona dhidi ya Bayern Munich, mlinda mlango wa Bayern, Manuel Neuer, alisema kuwa katika mchezo huo atahakikisha Messi hapati bao.
Neuer alisema, atamuonesha kuwa yeye ni nani katika soka na jinsi anavyoweza kulinda lango kama ilivyokuwa katika mchezo wa fainali Kombe la Dunia mwaka jana.
“Nitamuonesha mimi na yeye nani zaidi, nitahakikisha hapati bao kama ilivyo katika fainali za kombe...