Nani mwanasoka bora zaidi Afrika?
Yaya Toure na Didier Drogba, na John Obi Mikel wa Nigeria leo watajua nani kati yao atatwaa tuzo la mchezaji bora wa kandanda barani Afrika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Dec
Nani kuibuka mwanasoka bora? Ni Ronaldo, Messi au Neuer?
9 years ago
Mtanzania16 Nov
Watano kuwania mwanasoka bora Afrika
JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI
NYOTA watano wa soka ambao wanawania tuzo ya BBC mwaka 2015, wamewekwa hadharani juzi katika hafla maalumu iliyoandaliwa Johannesburg nchini Afrika Kusini.
Nyota hao ni pamoja na mshindi wa tuzo hiyo mwaka 2014, Yacine Brahimi kutoka nchini Algeria, Pierre-Emerick Aubameyang kutoka nchini Gabon, Andre Ayew, kutoka Ghana, Sadio Mane na Yaya Toure wa Ivory Coast.
Mshindi ataamuliwa na mashabiki wa soka Afrika ambao watapewa fursa ya kupiga kura hadi ifikapo tarehe...
9 years ago
Habarileo04 Nov
Samatta awania tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika
MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mbwana Samatta ni miongoni mwa wachezaji 10 wanaowania tuzo ya Mchezaji Bora wa mwaka kwa wachezaji wanaocheza soka Afrika.
9 years ago
BBCSwahili11 Dec
Toure ashinda tuzo ya BBC ya mwanasoka bora Afrika
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora Afrika 2015
9 years ago
Bongo517 Nov
Watano kuwania tuzo ya mwanasoka bora BBC Afrika 2015
![151113145647_afoty_2015_512x288_bbc](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/151113145647_afoty_2015_512x288_bbc-300x194.jpg)
Wacheji watano ambao wanagombea tuzo ya BBC kwa mwanasoka bora wa mwaka 2015 wametangazwa kwenye hafla maalum iliyoandaliwa mjini Johannesburg, Afrika Kusini.
Mshindi wa tuzo hiyo mwaka 2014 Yacine Brahimi, yupo kwenye orodha hiyo pamoja na Pierre-Emerick Aubameyang, André Ayew, kutoka Ghana, Sadio Mané na Yaya wote wa Ivory Coast.
Mshindi ataamuliwa na mashabiki wa soka Afrika ambao watapewa fursa kupiga kura hadi tarehe 30, Novemba.
Unaweza kupiga kura mtandaoni kwa kubofya hapa au kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdgRKtgNGUal5F5WF4SdbLY*BeOLx3u*qe3AutEKH3QpA6hQYIMYhhnwcPYrFnFVtFzW7PpxvbYUs8NH4*mxAed3/platnumz.jpg?width=650)
DIAMOND NDANI YA LAGOS, AKAGUA JUKWAA ATAKALOPAFOMU KESHO KWENYE TUZO ZA MWANASOKA BORA AFRIKA
9 years ago
Bongo503 Nov
Samatta aingia kwenye Top 10 ya wanaowania tuzo ya mwanasoka bora Afrika (Based in Africa) 2015
![sam](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/sam-300x194.jpg)
Mchezaji wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ameingia kwenye orodha ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora barani Afrika.
Samatta ambaye pia anaichezea klabu ya TP Mazembe ya DR Congo, anawania tuzo ya mchezaji bora Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani (African Player of the Year (Based in Africa) 2015.
Mshindi wa tuzo hiyo ataamuliwa kwa kura zitakazopigwa na makocha pamoja na wakurugenzi wa ufundi wa nchi wanachama wa shikirikisho la mpira wa miguu Afrika (CAF).
Tuzo hiyo...
9 years ago
Bongo512 Oct
Mbwana Samatta ateuliwa kuwania tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika, ni wachezaji wanaocheza soka la ndani